Wakuuu, kuna mtu alisema kuwa kuna punguzo la asilimia 80 ya mauzo ya nguo Kwenye maduka ya Dar kwa ajiri ya kusherehekea maadhimisho ya covid-19, kumbe mtu mwenyewe hizo asilimia hazijui maskini Wangu.
Nimemsikiliza akihojiwa na radio moja ameulizwa swali kuwa Kwa mfano nguo iliyokuwa inauzwa...
Hilo halipo Mkuu, Kama ni hivyo mbona unapomhamisha Mtoto muhula wa mwisho haulipi? Maaana yake ule muhula hutoi Huduma, hapa lazima kutatokea mjadala maana wewe mwenye shule ukilazimisha utaumia waweza kushtakiwa na dhahili ukishtakiwa huwezi kushinda
Sent using Jamii Forums mobile app
johnthebaptist,
Kwenye vifaaa hapo sasa, Mkuu hataki kuona mtu anapeleka vifaaa hata Kama ni Rafiki yake atamsema na kumkashifu na kutafuta maneno meeengi ya kumdalilisha na kuzua uongo, yeye anataka upeleke PESA PESA PESA hapo atakusifia na kukupongezaaaaa na atakupenda mno daaaah PESA
Sent...
Mkuu haujui kuwa watu wanapukutika Tanzania? Au Kwa kuwa wanaficha kwa kisingizio kuwa vipimo vimeharibika na mapapai? Idadi ya maaambukizi Tanzania hata kenya haitufikiii hata nusu, na waliokufa hata kenya haitufikii hata nusu, angalia tu waziri wa mambo ya ndani kapoteza Ndugu Saba hiyo ni...
Wanajitekenya wenyewe hao wanaosema kuwa watalii wanakuja, hata huyo mtalii akija Tanzania ndani ya miez hii mitatu atakuwa Hana akiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe unataka ukatae kuwa sio corona? Mbona Kama mtu akisema kuwa ni corona mnaumia? Kwani mmesikia kuwa corona imeletwa na nyie? Kwa nini mnaumia? Hamjaileta nyie acha kuhangaika kuzuia kuwa sio corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma post namba nane, halafu usijitoe Faham, watu wanakufa Kama kuku, Kama hujakutana nao subiri ila pia Faham kuwa watanzania wako zaid ya million nane na nchi ni kubwa wanaweza kufa watu wengi Sana usijue Kama hajafa kwenu au nyumba ya Jirani Na faham kuwa ikifika hatua kila mtanzania akajua...
Mimi nashangaaa huo utafiti Wakati kule Korea watu walirudia kuugua na dunia ikatangaziwa hivyo sasa huuu utafiti sielewi kabisaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwenyewe sielewi kilichotokea had wote wakaenda pasipokuvaa mask, nimejiuliza mno aiseee huenda kuna usaniii unalazimishwa kwa hisia kufuta ugonjwa huuu kitu ambacho ni kibaya Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mimi sizungumziii aliyoyaongea nazungumzia zile Picha kuwa, ilikuwaje wakaenda wote pasipo mask? Nadhani hata wewe huenda unajiuliza hivyo Mkuu, Kama wameelekezwa hivyo maaana yake ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika akiri tu Ya kawaida, kwa kipindi hiki huwezi kwenda kwenye sehemu ya mikusanyiko mikubwa ukakuta hakuna alievaa mask ,kitu kingne sidhani kuwa kwenye kikao cha rais unaweza kuruhusiwa kuingia pasipo kuvaa mask.
Picha zinaonesha kuwa watu wote hawakuvaa mask, hiii maaana yake wote...
Wakuuu hiii taarifa ya uteuzi inasema kuwa ni kuanzia tarehe 16 na taarifa haikusema Juu Ya kuapishwa, sasa najiuliza kuwa ameteuliwa na uteuzi wake unaanza tarehe 16 inamaaana anaanza Kazi tarehe 16 kabla ya kuapishwa? Au kaapishwa kimya kimya?
Na Kama kaapishwa kimya kimya basi mzee atakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.