Nawapongeza sana uvccm kwa kusema wazi wazi kwamba watawapoteza wote wanakosoa viongozi wa CCM na wala jeshi la polisi lisiangaike kuwatafuta
Nikisema CCM ni gang kama ile gfamily 9 ya Haiti au kama ile Pablo Escobar ilijaa watekaji, vibaya, wala rushwa, mafisadi, wahujumu uchumi wala usishangae.
Ni ngumu sana kutenganisha bwawa la Nyerere na Magu
Kama ilivyo ngumu kutenganisha rushwa ufisadi na ccm
Huu umeme tulionao ni kwasababu ya maamuzi magumu aliyo yachukua mwenda zake.
Kwa hapa Tanzania kwa sasa tuna pikipiki za kuchaji
Lakini kwa upande wa magari ya umeme kwa Tanzania bado sana japo tunatarajia maana mabadiliko ya kiteknolojia uwa yanatusomba tu kama mafuriko
Kwa sasa tuendelee kununua hizi hybrid generation za karibuni angalau tufurahie ulaji mdogo wa mafuta.
Uchawa unaweza kuwa ni matatizo ya akili
Nikupe tu taarifa mleta uzi kisongo ni nje ya mji na mafuriko kisongo ni kawaida uliza wenyeji wa Arusha we chawa wa ufipa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.