Nonsense, kanisani unaenda kutafuta wasichana au kusali, msichana au mchumba unaweza kumpata mahali popote na kila mahali Kuna heshima na taratibu zake. We Kama mada haikuhusu kaa kimya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana JF, natafuta Rafiki wa kike, ambaye tunaweza kujenga family hapo baadae.
Sifa;
Awe mcha Mungu, akiwa Mkristo itapendeza.
Awe na uelewa wa maisha na kujua nn anapaswa kufanya
Elimu kuanzia Darasa la saba
Awe ana jiheshimu na kuheshimu wengine
Mkweli na muwazi
Asiwe Muoga
Awe Huru...
Rafiki yeyote wa kike anayejihisi kuwa rafiki mzuri anakaribishwa. Any age, nia ni kuchat na kubadilishana mawazo, you are welcome.
Ni PM nikupe no zangu.
Hello wapendwa,
Natafuta rafiki wa kike mwenye upeo wa kimaendeleo awe na age kati ya miaka 20-25, aliye tayari anifollow in box ili Tuwasiliane.Thanx to you all
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.