Recent content by StBico

  1. StBico

    Rafiki/Mwenza wa maisha ( mwanamke )

    Kweli watu wanachukulia masihara hata Kama mtu anadhamira ya dhati Sent using Jamii Forums mobile app
  2. StBico

    Rafiki/Mwenza wa maisha ( mwanamke )

    Nonsense, kanisani unaenda kutafuta wasichana au kusali, msichana au mchumba unaweza kumpata mahali popote na kila mahali Kuna heshima na taratibu zake. We Kama mada haikuhusu kaa kimya. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. StBico

    Rafiki/Mwenza wa maisha ( mwanamke )

    Kwel, Ni kazi ila fresh akpatikana maana n bahati nasibu uwezi jua Sent using Jamii Forums mobile app
  4. StBico

    Rafiki/Mwenza wa maisha ( mwanamke )

    Nliona Kama n joke ndo mana nkajibu afu nikafuta Sent using Jamii Forums mobile app
  5. StBico

    Rafiki/Mwenza wa maisha ( mwanamke )

    Bila shaka Sent using Jamii Forums mobile app
  6. StBico

    Rafiki/Mwenza wa maisha ( mwanamke )

    Ahsante Sent using Jamii Forums mobile app
  7. StBico

    Rafiki/Mwenza wa maisha ( mwanamke )

    Habari wana JF, natafuta Rafiki wa kike, ambaye tunaweza kujenga family hapo baadae. Sifa; Awe mcha Mungu, akiwa Mkristo itapendeza. Awe na uelewa wa maisha na kujua nn anapaswa kufanya Elimu kuanzia Darasa la saba Awe ana jiheshimu na kuheshimu wengine Mkweli na muwazi Asiwe Muoga Awe Huru...
  8. StBico

    Bado natafuta mwenza wa kiume HIV +

    Njoo, ila Mimi Ni Mkristo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. StBico

    Iam looking for nice girls

    Rafiki yeyote wa kike anayejihisi kuwa rafiki mzuri anakaribishwa. Any age, nia ni kuchat na kubadilishana mawazo, you are welcome. Ni PM nikupe no zangu.
  10. StBico

    Mauzauza ya usiku, nitamuua huyu mama

    pole, zidi kuomba Mungu
  11. StBico

    Nahitaji mpenzi atakayekuwa mume

    contact me via email 9St.Bico@gmail.com or 0756062177
  12. StBico

    Mkaka wa kuchati nae tu anatakiwa

    am here, contact me via 0756062177, or 9St.Bico@gmail.com
  13. StBico

    Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

    naomba tuwasiliane kama upo very serious.
  14. StBico

    Natafutai rafiki wa kike

    Hello wapendwa, Natafuta rafiki wa kike mwenye upeo wa kimaendeleo awe na age kati ya miaka 20-25, aliye tayari anifollow in box ili Tuwasiliane.Thanx to you all
Back
Top Bottom