Habari wana JF, natafuta Rafiki wa kike, ambaye tunaweza kujenga family hapo baadae.
Sifa;
Awe mcha Mungu, akiwa Mkristo itapendeza.
Awe na uelewa wa maisha na kujua nn anapaswa kufanya
Elimu kuanzia Darasa la saba
Awe ana jiheshimu na kuheshimu wengine
Mkweli na muwazi
Asiwe Muoga
Awe Huru...