Nahitaji mpenzi atakayekuwa mume

Nahitaji mpenzi atakayekuwa mume

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 30, nina mtoto mmoja nahitaji kuwa na mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu, sibagui dini, kabila wala rangi.

Tafadhali iwe kwa anayehitaji tu, asiyehitaji sipendi usumbufu.

Kila la heri dada utapata
 
akiweka vigezo mtasema amuumbe wake

Wakati mwingine ni afadhari kufa na tai shingoni, ni heri kuwa mpweke peke yako daima kuliko kuwa na mtu wa hovyo.

Vigezo ni muhimu sana, atleast minimum requirements ziwe zimetimia.
 
Wakishafikisha 30 hawachagui maana hawana cha kuchagulia, washazeeka tena na mtoto juu kupata ni asilimia ndogo sana.
Kila siku mwaambiwa jitunzeni mnajifanya manjua sana. Mtaa mzima wanawajua kwa mambo yenu, kanisani wanawajua ni watu wa hovyo ndio maana hata posa hawaleti.
Mabinti na vijana jitunzeni watu huona

Bora umesema wewe ningesema mimi hooh ninalinga mara nawanyanyapaa....!
 
Aliyekuzalisha kafa? au nataka kuua wengine?
 
Ndoa ni jambo la KiMungu,ukitumia macho ya nyama kumtafuta mwenza utaangukia koroma.Piga goti omba,mme mwema huwez mpata mitandaoni labda aletwe na Bwana.
 
Mkifika30 ndio mnatafutaa mkiwa 23 hamjibu hata mamboo....
 
Unafanya shughuli gani?una elimu gani?

Dini yako ipi?maana kwa sie wengine hicho ni kigezo muhimu

Mtoto anaishi na nani na ana umri gani?vip mahusiano na Baba yake yapoje??

Mtoto ni wa kike au wa kiume?maana hapa panahusika kama kidume cha nyumba atakuwa huyo mtoto au wengine tutakaozaa tukikubaliana.

Nijibu please kama kweli upo serious

Umemuuliza swali zuri, kama yupo siriaz atupe majibu!!!
 
Umeonae...

Hahahahahah labda atapata wale wazee wa kupenda mteremko....

Na hiwa wanasumbua sana hao wakiwa kwenye chat.

FUNZO kwa hawa ukiwatokea wanakwambia wakupeleke wapi au utawapa nn.

NB; HATA BIBI alikuwa BINTI :-D
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom