Recent content by Staufenberg

  1. S

    Nahisi uchovu sana kila nikinywa konyagi, shida nini?

    Acha konyagi.. Kunywa mtori wa moto.
  2. S

    Nimemla dada poa kumbe mfukoni sina hata mia, nimeondoka na pensi

    Wadau nipo Zanzibar, location ya machimbo tafadhali.
  3. S

    Mke wangu na baba yake wanatumiana picha za uchi!

    Toa huu upuuzi, kama haikuhusu umeitoa sehemu haitakuwa na maana kabisa. Kama ni wewe si useme tu. Kwan nani anakujua humu. (pole kwa kuchapiwa na baba mkwe)
  4. S

    Wanaume wenzangu, kabla ya kuamua kuingia ndoani fanya kama mimi

    Kabla ya kuandika chochote hakikisha umesoma vizuri na umeelewa kilicho andikwa. Aliposema likizo ya mwaka maana yake ni mwezi mmoja (siku 28)katika mwaka. hakuwa na maana alikaa miezi 12 (mwaka mzima) bila kufanya kazi.
  5. S

    Msaada nataka kumbadilishia mazoea

    Mpiga nyeto aliye kubuhu huyo.
  6. S

    INAUZWA Tunauza magodoro. Usafiri bure mpaka ulipo ndani Dar es Salaam

    Naomba bei ya Tanfoam Arusha 5*6 inch 10 density ya 28 na 32
  7. S

    Ex-wife kaolewa lakini ananifatilia sana

    HAMA hapo haraka sana.Narudia HAMA hapo haraka sana hakikisha hafahamu ulipohamia kisha zidisha ukimya utarudi kunishukuru
  8. S

    Kwa kipimo hiki naghairi ndoa, sioi tena

    Weka kilakitu hadharani ajue ukweli kuwa alikuwa anachat na wewe na sio ex wake muoneshe hizo chat akimuahidi ex wake kuwa awataachana kisha vunja uchumba. Hayo ndio maamuzi ya kiume.
  9. S

    Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

    Hongera sana. Ndani ya miaka11 bado anajali kias hicho. natamani nimpate kama huyo.
  10. S

    Nimeelewa kwanini unatakiwa kumheshimu mkeo sana

    Nani aliyekuwa anamuhesabia?
Back
Top Bottom