Toa huu upuuzi, kama haikuhusu umeitoa sehemu haitakuwa na maana kabisa. Kama ni wewe si useme tu. Kwan nani anakujua humu. (pole kwa kuchapiwa na baba mkwe)
Kabla ya kuandika chochote hakikisha umesoma vizuri na umeelewa kilicho andikwa. Aliposema likizo ya mwaka maana yake ni mwezi mmoja (siku 28)katika mwaka. hakuwa na maana alikaa miezi 12 (mwaka mzima) bila kufanya kazi.
Weka kilakitu hadharani ajue ukweli kuwa alikuwa anachat na wewe na sio ex wake muoneshe hizo chat akimuahidi ex wake kuwa awataachana kisha vunja uchumba. Hayo ndio maamuzi ya kiume.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.