Kikubwa aliyemaliza Advance tuseme maybe PCB na aliyemaliza Course ya Afya ata kama ni Certificate, hawezi kufanananishwa na huyo wa A-level kwasababu huyo aliyemaliza chuo tayari ana proffession.
We jamaa umewaza mbali kweli,,,,maana kuna shule nyingi zinakosa vifaaa kama madawati hivyo wanafunzi wakipewa ujuzi wataweza kutengeneza madawati wenyewe na tatizo la uhaba wa madawati litaisha kama utani hivi tena kwa gharama nafuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.