Tunaendelea kupokea oda zenu,pia tunaunda power factor kwa ajili ya kupunguza matumizi ya umeme viwandani na watumiaji wakubwa kama hotel,shule hosp etc
Kwa sehemu kama hiyo ya ushindani huo ni ngumu kutoboa kwa kutumia viprinter vidogo,labda ujikite kwenye kusafisha picha na passport size uchukue mashine kama l3150 ,copy na print haiwezi kukulipa
Kwa wiring bora za umeme majumbani na viwandani wasiliana nasi,tumeithinishwa na Tanesco na Ewura kwa kazi za umeme,pia tumesajiliwa na bodi ya wakandarasi CRB
0714 779 110
Kwa wiring bora za umeme majumbani na viwandani wasiliana nasi,tumeithinishwa na Tanesco na Ewura kwa kazi za umeme,pia tumesajiliwa na bodi ya wakandarasi CRB
0714 779 110
wateja wako complicated sana,lazima uwe mvumilivu vinginevyo baki na bidhaa zako ndani,kumbuka mteja ana uwanja mpana wa kuchagua anunue wapi ila wewe muuzaji unatamani na kuombea mtu yoyote aje anunue,hivyo yeye hana shida,pesa ndio kila kitu katika ulimwengu wa biashara
Tunaendelea kuwahudumia wateja wetu,kwa kazi za matengenezo ya AC,generators,mashine za viwandani,uwekaji wa wiring majumbani na viwandani karibu tukuhudumie,
0714779110
Instagram starbay_electrical
Tumefungua ofisi ndogo Chanika karibu na ofisi mpya ya Tanesco wilaya ya Chanika ambapo vifaa vya wiring vinapatikana,pia tunafanya kazi za wiring majumbani na viwandani,tunachora michoro ya umeme na kujaza forms za maombi ya umeme,karibuni 0714779110
Instagram starbay_electrical
Kiukweli Kuna shida Sana Tanesco Mikocheni Dar,haiwezekani mteja amelipia mita ya 3 phase tangu 11/11/2020 mpaka leo wanasema mita hizo hazijafika,ivi kama hapa mjini ni shida hivi itakuaje kwa watu huko vijijini wenye viwanda vidogo vidogo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.