Recent content by Starb

  1. S

    Yanga imebebwa leo dhidi ya Kagera Sukari

    mech ya simba v/s azam gem ya simba v/s mwadui, simba v/s namungo, simba v/s yanga, simba v/s kmc gem za simba kubebwa waz waz
  2. S

    Kushambuliwa kwa Freeman Mbowe nani anahusika?

    Nahis uwezo watko wa kufikir ni mdg zaid ya elim ya upe! Haya mliongea wakat wa shambuliz la lissu mkaongea kwe kutekwa kwa watu mbalimbal cha ajabu chadema wakitaka uchunguz huru hamtak! Kama ni visa vya kimapenz au ugomv na wabunge wa chadema waliofukuzwa kwann serkal haitak uchunguz huru...
  3. S

    Mbunge Lijualikali alia bungeni kwa unyanyasaji anaofanyiwa na Mbowe ajiuzulu ubunge amuomba Ndugai CCM wampokee

    Mbowe ni zaid ya kamanda anapambana kwelikweli leo utaskia kaitwa polis,mara yuko mahakaman mara spika anamsema hovyo mara tra inamtaka kulipa kodi na kupokonywa mali zake haya yote yaliwashnda mrema,mbatia na lipumba cha ajabu huyu mboe anazid kukua kila kuchwao leo ccm wanajidanganya kuwa...
  4. S

    Rais Magufuli, wewe ni mwanaume

    Angekuwa mwanaume angeacha vyama vyote vifanye siasa kisha waonane octoba,angekaa ikulu apambane na corona,angeshndana kwa hoja ili aman itawale,angeongeza mishahara ya watumish,angeajiri wanafunz wanaomaliza vyuo,angeacha vyombo vya habar viwe huru,
  5. S

    Ukweli usemwe, Hamna mwanasiasa anayeumizwa na Corona kama Lissu

    kama lisu akili anayo ya kitabun tu nan mwenye akili tz hii? Yule aliekimbia nyoka ndan na kumwacha mama na watt wakimuua nyoka na yeye akichungulia dirishan na kusema kanyoka hako hakana sumu? Au yule aliekuwa anakunywa dawa za wagonjwa pale airport? Au ni yule houseboy aliepambana kaka mkubwa...
  6. S

    Waitara ni Jembe, aamua kuifuta CHADEMA Mkoa wa Mara

    hahahaha!! Kama chadema imekufa mnaogopa nin kuwaruhusu wafanye mikutano na mnataka mfanye nyie tu? Kwann mnakuwa wanyonge mkisikia tume huru ya uchaguz? Upumbavu ni pale mwenyekit wa tim anapotaka refa amuandae yeye makamisaa pia na uwanja uwe wake afu refa alale kwake siku ya kuamkia mech...
  7. S

    Niliyoyaona kwenye Jukwaa la Siasa

    ashauriwe kisir? Kiongoz anaedhalilisha watu na kuvunja hak za binadam ashauliwe kwa sir? Kiongoz alietangaza hadharan kuwa hapangiw ashauriwe kwa sir?huo ulikuwa uongoz wa kifalme si wa sasa!! Weka kumbkumbu wale wanaompamba sasa ndio watakao mponda sana madaraka yakiisha!
  8. S

    Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare achaguliwa kuwa Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni

    Ccm wanaona wanamfurahisha baba ubaya kumbe dunian wanaonekana vituko! Nch iko hoi, imekumbwa na majanga ikiwemo mafuriko,matetemeko,corona na uchumi lakin wao wako busy kudeal na chadema hiv mnaona mkiwanyamazisha chadema ndo hayo watu hawatayaona? Uchum utakua na corona itaisha? Leo tumetengwa...
  9. S

    Spika Ndugai: CHADEMA wajiandae kulipa gharama za kesi ya Tundu Lissu kuvuliwa Ubunge

    Ukiona mtu anakichwa kikubwa kuliko mwili au mwanaume anamakalio makubwa kuliko mwili wake ujue lazima alipigwa na degedege akili yake huwa ya mashaka
  10. S

    Mbunge wa Momba, David Silinde awatolea uvivu CHADEMA, asema yeye hapelekeshwi na Mbowe bali wapiga kura wa Momba

    Write your reply...huyu dogo amin nawaambia hawez pata kura hata robo alizopata uchaguz uliopita tena ashukuru chadema amshukuru mboe uzur kapotea kabla hata hajawa maarufu
Back
Top Bottom