Angekuwa mwanaume angeacha vyama vyote vifanye siasa kisha waonane octoba,angekaa ikulu apambane na corona,angeshndana kwa hoja ili aman itawale,angeongeza mishahara ya watumish,angeajiri wanafunz wanaomaliza vyuo,angeacha vyombo vya habar viwe huru,