Recent content by stanton

  1. S

    Bei ya mbaazi

    Bei ziko chini sana 300-500 kwa kilo Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    Waliosoma Tosamaganga High School

    Haha haha upo sahihi kabisa chumba cha pili opposite kuna rumu namba 59
  3. S

    Waliosoma Tosamaganga High School

    Haha Fackeni behavior tuliingia nae tosa 2002mi nilikuwa egm nakumbuka alikuwa cbg
  4. S

    Waliosoma Tosamaganga High School

    Daa umenikumbusha mapinduzi rumu no 62
  5. S

    Banki gani inatoa mikopo kwa wafanyakazi?

    Sio benki. Zote zinakopesha mikopo kwa wafanyakazi nyingine hazikopeshi wafanyakazi kabisa
  6. S

    Banki gani inatoa mikopo kwa wafanyakazi?

    Kama mfanyakazi wa umma nenda nmb na salary slip yako utakopeshwa
  7. S

    Meli iliyobeba malori 600 ya kiwanda cha Dangote yatia nanga Bandari ya Mtwara

    Wakosoaji wengi ni makada ndio maana wao furaha yao ni pale mambo yanapokuwa hayaendi sawa kwa upande wa jpm
  8. S

    Being in Njombe, ushawahi ishi, soma, fanyia kazi au hata kupita maeneo haya?

    Uko sahihi ndugu yangu wacha tuwahamasishe walioko mkoani njombe kutunza mazingira najua wanatunza maana mwamko wa kupanda miti kule bado ni mkubwa sana
  9. S

    Being in Njombe, ushawahi ishi, soma, fanyia kazi au hata kupita maeneo haya?

    Kitambo sana Jamaa kuelezea mengi nikiwa kama mwanafunzi wa mabatini primary1991-1997nimejikuta nacheka peke yangu
  10. S

    Being in Njombe, ushawahi ishi, soma, fanyia kazi au hata kupita maeneo haya?

    Nimekumbuka kidugala luth seminary 1998/2001
  11. S

    Meli iliyobeba malori 600 ya kiwanda cha Dangote yatia nanga Bandari ya Mtwara

    Watu wamekaa kiitikadi mpaka wanasahau kama ni Watanzania jamani tufike mahali tueleze kuna tofauti kubwa kati ya chama na nchi kwa iyo kabla ya kufikri masilahi ya chama tazama nchi yako kwanza
Back
Top Bottom