Mwalimu siku hizi ukitaka kubalidishana kituo na mtu mwingine, ingia kwenye mfumo rasmi wa watumishi kwa link: www.ess.utumishi.go.tz
Fanya usajili kisha soma mwongozo wa kubadilishana vituo.
Kama anazo fact aweke wazi kwa nini chanjo siyo salama. Otherwise itabaki maelezo yasiyokuwa na msingi wowote ule na ni taarifa potofu kwa jamii. Mzigo umeshafika na imetolewa taarifa kuwa chanjo itakuwa hiyari, anayetaka aende akapige chanjo asiyetaka akae nyumbani. Sasa hivi ng'eng'eee...
Tembelea tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kubonyeza link hii ambayo itakupelekea moja kwa moja kwenye kusoma maelekezo ya sifa za kujiunga na mafunzo ya stashahada ya ualimu kwa masomo uliyotaja hapo juu. Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
Ingawa kwa tahsusi aliyosoma...
Mfumo wa uombaji wa nafasi za mafunzo ya ualimu katika ngazi ya stashahada umefunguliwa. Kama una ndugu au jamaa mtaarifu ikiwa anavigezo vilivyoanishwa anaweza kutuma maombi. Ili kuweza kuona kozi na sifa zinazohitajika tafadhali soma maelekezo kwa kubonyeza hapa.
===
Katibu Mkuu Wizara ya...
Actually umeshafanya searching ya kuhusu maombi ya ualimu na majibu yapo mwishoni. Kitu cha kufanya kwa sasa ni kuvuta subira hata watakapo tangaza kutuma maombi kwa kozi uitakayo.
Kwa kozi ya ualimu ngazi ya cheti unatakiwa kuwa na div 1 hadi 3. Hata ukiwa na sifa pia inategemea na ushindani na...
Malipo kwa njia ya M-PESA
1. Piga *150*00#
2. Chagua 4. LIPA kwa M-Pesa
3. Chagua 4. Weka namba ya kampuni
4. Tafadhali weka namba ya kampuni No. (607070
5. Weka namba ya kumbukumbu ya malipo No. (1234)
6. Weka kiasi (e.g.20,000/=)
7. Weka namba ya siri.
8. Bonyeza 1 kuthibitisha:
Watanzania wenzangu tutoke huko kwenye kumjadili mtu, tujadili issue na kuitafutia majibu mujarabu. Hata mawaziri waliopita walikuwa na mapungufu yao...! Hata mimi na wewe tuna mapungufu yetu.
Labda tuulizane kwamba akiondoka Pro. Ndalichako kwenye wizara hiyo, ndiyo mambo yatabadilika...
Badala ya kumlaumu mtu (Prof: Ndalichako), tutathmini mfumo uliopo wa utendaji kazi na ufanyaji maamuzi katika taasisi husika. Mtu ( Prof: Ndalichako) anafanya kazi kulingana taratibu (sheria na miongozo) iliyopo kwenye taasis zetu. Kwa maoni yangu mapungufu yaliyopo kwenye taasis ni ya kimfumo...
Pole sana...ila huu ni upande mmoja wa habari.
Waandishi wa habari mtusaidie na upande wa pili ili kuweza kutoa ushauri bila upendeleo...
Afisa elimu anatumia taratibu na kanuni katika kutoa uhamisho wa watumishi wa wikaya yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.