Jamani naomba kuuliza, sasa kama mtu hayupo kwenye selection ya kwanza, na hii second selection pia hayupo, na amequalify kuendelea na form five (GPA 1.9) inakuwaje hapo, anatakiwa afanye nini tena, kusubiri tu, au anaweza ku apply chuo kwenye hizi nafasi za ualimu na uhudumu wa ngazi za afya.
Jamani naomba kuuliza, sasa kama mtu hayupo kwenye selection ya kwanza, na hii second selection pia hayupo, na amequalify kuendelea na form five (GPA 1.9) inakuwaje hapo, anatakiwa afanye nini tena, kusubiri tu, au anaweza ku apply chuo kwenye hizi nafasi za ualimu na uhudumu wa ngazi za afya.
Naomba msaada....nini tiba ya vijinyama sehemu ya haja kubwa?
na je...nini inapelekea kutokwa majimaji sehemu ya haja kubwa? nikiwa na maana kwamba...when i go for stool...nikimaliza najisafisha vizuri na kujikausha, lakini baada ya muda nakuta nina majimaji (kind of mucus) ambayo yanatoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.