Nyiye vijana wa Lumumba mbona mnaaibisha hivyo Go here. How much do helicopter cost to buy and run? - General Helicopter Forum - Vertical Reference Helicopter Forums
I
Akifika Hapa Vwawa nataka nimnong`oneze kuhusu taabu ya wakulima wa kahawa! hakuna pembejeo ya hakika, nyingi ni feki hakuna hatua inachukuliwa, fidia ya wakulima wadogo kwenye stimulant package. Sijui mkutano atakuwa wapi na mimi niwahi nafasi
huyu jamaa huwa namkubali sana, yaani amewajibu kwa ufasaha with facts, kama hawataelewa basi hapa siyo mahala pao, na hata nitashangaa kusikia wako mitaani kama watu wa kawaida, wasipoelewa tu, tuwapeleke kwa wenzao kule Dodoma.
Nina pata wasiwasi kwa HK kukataa hizo hela kwenda kwenye kata, alafu zikanunue vifaa vya maendeleo, ninamfahamu vizuri HK hapo atakuwa ameshategesha mrija wake kwenye manunuzi. Believe or not, si alishachezaga dili Fulani kwenye manunuzi ya vifaa vya hospitali, ule utamu sasa ndo unamsumbua...
Namwambia DR.KITILA MKUMBO, Chadema ndiyo chama pekee makini, ndyiyo maana watu makini kama yeye waiitafuta kwa umakini, na wakajiunga huko kwa umakini ila walikosa umakini kutekeleza madudu yao, na chama kikawa makini zaidi yao, na sasa kimefanya maamuzi sahihi kwa umakini mkubwa.Viva CDM...
Naona maana ya KIONGOZI inakupia chenga, jaribu kufanya reference utagundua nafasi ya kiongoz katika kuwezesha maendeleo kupitia mabadiliko ya kifikra, sera, utawala bora n.k
Hakuna mwenye ubavu, siyo hilo tu pia hakuna mwenye sababu ya kufanya hivyo! Mangula hawezi kwa sababu mpaka sasa anasema atakayethibitika, kwa hiyo na yeye hana sababu ya kumhoji/kumfukuza/kumzuia. Nape Alishasalimu amri baada ya kukosa ushaidi wa ufisadi dhidhi ya EL
Wanajamvi, mimi niko tayari kuweka dau lolote kwa mtu yeyote anayesema kuwa CCM itamfukuza/itamhoji au itamzuia kugombea urais kupitia CCM. Nasema hivi kwa sababu, nimejaribu upima ujasiri na mikakati yake,nikagundua kuwa EL tayari ameshafanya feasibility study, akafanya na SWOT analysis...
Le Mutuz, una shida sana, bahati mbaya hujui unasumbuliwa na ugonjwa gani. Hakika kicheko chako cha hahahahaha kinanisikitisha tena kwenye mambo ya msingi na ya maana. Kule kwetu wangkuambia wewe ni mwanamke. Au unacheka kcheka kama mwanamke
Wajuzi wa mambo naomba tusaidiane, hii Le Mutuz, haijui hata kilichopelekwa bungeni kuwa ni muswada wa sharia ya mabadiliko ya katiba. Sasa kusema hatuwezi kuongelea Rasimu wakati tayari imeshakuwa muswada, nafikiri ni kutojitambua kuwa huelewi haya mambo zaidi ya upotoshaji. Kaa kimya siyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.