Story yetu ndo imefikia mwisho hapo
Shukrani kwa kuisupport, kwa aliesoma na kuandika comment ya maana, tupo pamoja, wote japo sijaweza mtag mtu kutokana na nilivyokuwa nikiandika lakini naimani story itaweza kuonekana
Nilipoisoma story hii niliipenda hivyo nikatamani kushare na wana JF nikijua...
Sehemu ya 5
Kitendo cha Eduardo kufunga akaunti ya bank kilikuwa ni kama kitendo cha kuwakaata koo Mark na Dustin, kilikuwa ni kama kitendo cha kuiondolea uhai kampuni kitendo ambacho kingeharibu kazi yote aliyofanya Mark kwani bila pesa kampuni isingefanya chochote kile, kama server zingezima...
Kila movie lazima antagonist aplay part yake
I'm not trying to make you understand, ila:-
Moja: I'm not a man
Mbili: Hujalazimishwa kusoma
Tatu: Hata ningetoa link direct bila kusimulia, na imani kati ya watu kumi mmoja pekee ndo angeweza kusoma
Nne: Link imo humu ndani wenzio wameshaitoa...
____NO_____4.
Eduardo alikuwa ameketi ndani ya ndege akisubiri ndege ianze safari ya kuelekea California-jijini San Fransisco
Hakuweza kujutia kitendo chake cha kuweza kuacha internship siku ya kwanza tu ilikusudi kuendelea na kaz yake ya kutafta wawekezaji na watu wa kutangaza kwenye web site...
People are freaking out bila kujua, ila story nishaipost toka jana lakini status yake ni kwamba bado inasubiri moderation ili iweze kuwa displayed publicly, as you know mods are bussy that's why hata wanachelewa kuifanyia moderation
Tyler na Cameron walikuwa wameketi wakisubiri kuonana na Raisi wa chuo, Tyler alikuwa amechoka na kupuuzwa kwani alikuwa ameshafika sehemu mbali mbali za uongozi mpaka kenye board ya chuo ambayo ilisema kuwa kesi hiyo ipo juu ya uwezo wao, Mark mwenyewe alikuwa amepuuzia amri yao waliyomtaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.