Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,351
- 1,282
Mbona fupi..
Alafu achaga UKOMA wako waquotes uzi mzima
Punguza uvivu wa kusoma
Mbona fupi..
Alafu achaga UKOMA wako waquotes uzi mzima
Punguza uvivu wa kusoma
huyu pumbavu kaleta habari kashindwa kuimalizia
Daaah! Naona uvumilivu umekushinda, wabongo ni wa ajabu sana. Bora asingeleta kabisahuyu pumbavu kaleta habari kashindwa kuimalizia
Daaah! Naona uvumilivu umekushinda, wabongo ni wa ajabu sana. Bora asingeleta kabisa
Kabisa, ila mpumbavu anaonekana ni yupiBinadamu hatuna shukrani kabisa, mtu anatumia muda wake kuandaa habari, anatumia resources zake mwenyewe kutuletea habari bure kabisa, lakini bado kuna watu wana guts za kumwita Pumbavu!
Jirekebishe mkuu.
Jiheshimu wewehuyu pumbavu kaleta habari kashindwa kuimalizia
Sikulamu, sio kosa lako, ila next time usijaribu kutake vitu personally, infact mi ndo nilipenda kuianzisha hivyo kuimaliza ni jukumu langu piahuyu pumbavu kaleta habari kashindwa kuimalizia
People are freaking out bila kujua, ila story nishaipost toka jana lakini status yake ni kwamba bado inasubiri moderation ili iweze kuwa displayed publicly, as you know mods are bussy that's why hata wanachelewa kuifanyia moderation