Recent content by Stan Pearson

  1. Stan Pearson

    Ladies Usikubali kumkaribisha maishani mwako, No matter how life is damn miserable to you. Wewe ni wathamani

    Ulipokuwa na miaka 14 ulikuwa unafanya ngono kwa sababu unaitikia vichocheo( hisia zako zinakutuma), na kwangu mimi hiyo shida. That's the way we are wired;unampenda au kumtamani mtu, then unamake efforts kumpata. Lakini wewe kutoa ngono kwa sababu ya kuhaidiwa kazi, thats completely...
  2. Stan Pearson

    Ladies Usikubali kumkaribisha maishani mwako, No matter how life is damn miserable to you. Wewe ni wathamani

    Sema sina nguvu za kuandika maelezo mengi. Lakini kwa kusummarize ni kwamba "We are what we repeatedly do ". Kuna vitu unapovifanya, your conscience (dhamiri) taratibu inaharibika, mwisho wa siku ukipata changamoto kama hiyo unakuwa huoni noma kufanya mbinu ile ile, tena unaweza kuanzisha wewe...
  3. Stan Pearson

    Ladies Usikubali kumkaribisha maishani mwako, No matter how life is damn miserable to you. Wewe ni wathamani

    Yeah, nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani. Sema kufanya mapenzi ili kupata kazi au kupewa hela ni extreme.
  4. Stan Pearson

    Ladies Usikubali kumkaribisha maishani mwako, No matter how life is damn miserable to you. Wewe ni wathamani

    Kufanya mapenzi kwa sababu ya hela, kazi, au certain favor sio sahihi.
  5. Stan Pearson

    Ladies Usikubali kumkaribisha maishani mwako, No matter how life is damn miserable to you. Wewe ni wathamani

    Utapoteza utu wako. Usinunue future yako kwa kuuza utu wako. Hao wengine unawapa kwa sababu unawapenda. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Stan Pearson

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Huyu jamaa alibahatisha hii track. " Nilianza hustle mdogo mdogo wakaniona fala. Mi nimeanza kumake dollar kabla ya kujua kuflow, so hainipain nikikosa kufanya show. Mi ni mjeshi Komandoo. "
  7. Stan Pearson

    Mfahamu Abby Chams, mtoto mwenye kipaji cha kutisha

    If you have nothing good to say about someone, it's better to keep quiet.
  8. Stan Pearson

    Mfahamu Abby Chams, mtoto mwenye kipaji cha kutisha

    Nimemfahamu kupitia Instagram. She is a talented and confident young lady. The future is very promising for her, taking into account the fact that she is coming from a very supportive family. We must take this as a lesson and inspiration to fight for a better life. I believe she has realized...
  9. Stan Pearson

    Haya ndio maisha yangu lakini sina furaha

    Sasa wewe unaacha pombe furaha utaipata wapi!
  10. Stan Pearson

    Naomba ushauri kuhusu jambo hili la Mke wa mtu kuvaa nguo zinazobana

    Mbona sijaona tangazo kwamba imefungwa? Ila sio kesi, mimi nilikuwa namuongelea huyo mdada kwenye picha na sio mke wako. Amenivutia sana ingawaje huwa sipendi mavitenge.
  11. Stan Pearson

    Nisaidieni wakuu

    Hahahaha, kwa hiyo umekubali yule ni shemeji yake ?
Back
Top Bottom