Recent content by stable

  1. S

    JamiiForums Tanzania Vikao vya Online hasa vya Serikali, Je usiri au Confidentiality, (information Protectionism ipo)

    Nimewaza sana matumizi ya Google Team, Zoom na Apps nyingine nisizo zifahamu zinazo tumika kuendesha vikao mbalimbali, na hata hutumika katika matumizi Serikalini. Je? Tuna uhakika na usalama wa taarifa zetu!? Maana Apps hizi ziko controlled na wao!!. Tumeweza ku develope emails na mengine...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Legacy kuu za Mwalimu Nyerere: Mwiba mkali kooni mwa Watanganyika

    Tuwe tunasoma, tujue mataifa mengine yalipitia wapi mpaka kufanikiwa. Soma historia ya USA, pamoja kuwa na Marais wengi, lakini walioleta mapinduzi ni wachache sana. Hivyo, mpaka sasa TZ Bado tuna struggle kupata mtu sahihi wa kituvusha hapa! Wala sio kwa maamdamano , ispokuwa matumizi sahihi...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Legacy kuu za Mwalimu Nyerere: Mwiba mkali kooni mwa Watanganyika

    Ni rahisi sana kwa sasa kuona wakati wake alikosea! This is a principle! No wonder hapo ulipo Kuna nyakati unaona Baba yako mzazi kuna mahali ali mess up katika kuipambania familia yenu. Hii inamaanisha kuwa hakuna binadamu aliye kamilika. Lakini! Independence for struggle wasn't easy at all! I...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Legacy kuu za Mwalimu Nyerere: Mwiba mkali kooni mwa Watanganyika

    Dhana ya kuwajali, nimeichukua kwenye namna Public funds ilivyokuwa inatawanywa, na namna yeye binafsi alivyotumia Ofisi kwa manufaa ya wote. Itoshe kusema, alikuwa binadamu kama ulivyo wewe, mapungufu ni kawaida!
  5. S

    JamiiForums Tanzania Legacy kuu za Mwalimu Nyerere: Mwiba mkali kooni mwa Watanganyika

    Sio sahihi! Nadhani umetumia maneno makali zaidi kuchangia mada hii. Unaposema alikuwa anatumiwa, niambie yeye alinufaika na nini katika kutumiwa kwake,? Maana hakuwa na Utajiri wa kujilimbikizia mali! zaidi wakati wake hakukuwa na exploitation kubwa ya natural resource! Na ni yeye alizuia...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Legacy kuu za Mwalimu Nyerere: Mwiba mkali kooni mwa Watanganyika

    Kwani alikuwa anaongoza mazombi? Kwanini hao waongozwa kipindi hicho hawakuchukua hatua? ,Leo ambao hawakuwepo ndio wanabebeshwa lawama za kuto chukua hatua!
  7. S

    JamiiForums Tanzania Legacy kuu za Mwalimu Nyerere: Mwiba mkali kooni mwa Watanganyika

    Japo tunajifunza kupitia historia, in my view! Nyie wasomi ndio tatizo la haya yote, na hasa nyie wasomi wa kipindi cha mwalimu hadi miaka ya 90s. Malcom huwa najifunza mengi sana kupitia maandiko yako, lakini Kuna namna hata nyie kizazi chenu ni hasara, tena nyie ndio source ya haya yote...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Si sahihi kumdhalilisha mtu online, si ubinadamu. Kuweka picha za mtu za faragha si sahihi, Sasa naelewa kwanini Serikali inadhibiti maudhui

    Dunia hii ya Leo, wewe ni wa kurecord picha za namna ile, kama kweli unajiheshimu! Mbaya zaidi muda wowote unaweza poteza simu! Hawataki kujifunza, na tamaa zao za fedha zinawafikisha huko.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Si sahihi kumdhalilisha mtu online, si ubinadamu. Kuweka picha za mtu za faragha si sahihi, Sasa naelewa kwanini Serikali inadhibiti maudhui

    Alirecord kwa ajili ya nini? Kitendo cha kutumia Simu ya mkononi kurecord, it's all about for public consumption. Hopefully lengo lake limetimia. Mtu timamu buwezi kujirecord ukiwa katika kile kitendo, "for what"?
  10. S

    JamiiForums Tanzania Maalumu kumsaidia Rais (target upigaji kwenye procurement). Faida kwa Taifa

    Soma Sheria na kanuni, itakiasaidia uelewa, pia soma Majukumu ya Idara tumizi na Majukumu ya PMU. Mfumo umesaidia sana kupunguza physical interaction Kati ya Mwajiri na Mwajiriwa, kitu kinachopunguza kabisa rushwa. Zaidi, vigezo vya uchambuzi na bajeti ya Taasis ni sehemu muhimu ya kumpata...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Chuo Cha Kwanza Cha Vinyozi Tanzania

    Kina muda mrefu sana, baadhi ya jamaa zangu walikuwa wakufunzi pale
  12. S

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani naweza kujifunza kunyoa hapa Tanzania?

    Au amcheki huyu jamaa alikuwa mwalimu pia kwenye hicho Chuo 0685 408 530 hapo Morocco.
  13. S

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    The Point of Smooth Jazz Internet Radio....... Series from 2020-to date. Source: Youtube
  14. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwamuzi wa Mechi ya Yanga na Mamelodi awaomba Watanzania waache kumshambulia kwa Matusi kwa kuwa si yeye aliyetoa maamuzi ya Kukataa Goli

    Simba walianza way back 1993 kupambania haki baada ya Stella Abidjan kuchezesha wachezaji ambao hakuwa kwenye orodha ya usajili. Kama umeanza kufuatilia mpira juzi, sio rahisi kujua Umuhimu wa Simba katika Soka la Tanzania barani Africa.
  15. S

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli kukataa kufanya tathmini ya mazingira bwawa la Nyerere, sasa Rufiji inazama, serikali ifanye tathmini ya mazingira sasa

    Mtu anaye dhihaki huu mradi, ni mtu wa ajabu sana. Sijui lini Watanzania tutatoka kwenye lindi la Ujinga. Swala la mafuriko ni force-majure, huwezi kutoa lawama moja kwa moja kwa mradi, wakati hata Kawe mafuriko yalipita na watu wakapoteza maisha. Kwa akili ya kawaida, mradi kama ule hauwezi...
Back
Top Bottom