Nimewaza sana matumizi ya Google Team, Zoom na Apps nyingine nisizo zifahamu zinazo tumika kuendesha vikao mbalimbali, na hata hutumika katika matumizi Serikalini.
Je? Tuna uhakika na usalama wa taarifa zetu!? Maana Apps hizi ziko controlled na wao!!.
Tumeweza ku develope emails na mengine...
Tuwe tunasoma, tujue mataifa mengine yalipitia wapi mpaka kufanikiwa.
Soma historia ya USA, pamoja kuwa na Marais wengi, lakini walioleta mapinduzi ni wachache sana.
Hivyo, mpaka sasa TZ Bado tuna struggle kupata mtu sahihi wa kituvusha hapa! Wala sio kwa maamdamano , ispokuwa matumizi sahihi...
Ni rahisi sana kwa sasa kuona wakati wake alikosea! This is a principle! No wonder hapo ulipo Kuna nyakati unaona Baba yako mzazi kuna mahali ali mess up katika kuipambania familia yenu. Hii inamaanisha kuwa hakuna binadamu aliye kamilika.
Lakini! Independence for struggle wasn't easy at all! I...
Dhana ya kuwajali, nimeichukua kwenye namna Public funds ilivyokuwa inatawanywa, na namna yeye binafsi alivyotumia Ofisi kwa manufaa ya wote.
Itoshe kusema, alikuwa binadamu kama ulivyo wewe, mapungufu ni kawaida!
Sio sahihi! Nadhani umetumia maneno makali zaidi kuchangia mada hii.
Unaposema alikuwa anatumiwa, niambie yeye alinufaika na nini katika kutumiwa kwake,? Maana hakuwa na Utajiri wa kujilimbikizia mali! zaidi wakati wake hakukuwa na exploitation kubwa ya natural resource! Na ni yeye alizuia...
Kwani alikuwa anaongoza mazombi? Kwanini hao waongozwa kipindi hicho hawakuchukua hatua?
,Leo ambao hawakuwepo ndio wanabebeshwa lawama za kuto chukua hatua!
Japo tunajifunza kupitia historia, in my view! Nyie wasomi ndio tatizo la haya yote, na hasa nyie wasomi wa kipindi cha mwalimu hadi miaka ya 90s.
Malcom huwa najifunza mengi sana kupitia maandiko yako, lakini Kuna namna hata nyie kizazi chenu ni hasara, tena nyie ndio source ya haya yote...
Dunia hii ya Leo, wewe ni wa kurecord picha za namna ile, kama kweli unajiheshimu! Mbaya zaidi muda wowote unaweza poteza simu!
Hawataki kujifunza, na tamaa zao za fedha zinawafikisha huko.
Alirecord kwa ajili ya nini? Kitendo cha kutumia Simu ya mkononi kurecord, it's all about for public consumption.
Hopefully lengo lake limetimia. Mtu timamu buwezi kujirecord ukiwa katika kile kitendo, "for what"?
Soma Sheria na kanuni, itakiasaidia uelewa, pia soma Majukumu ya Idara tumizi na Majukumu ya PMU.
Mfumo umesaidia sana kupunguza physical interaction Kati ya Mwajiri na Mwajiriwa, kitu kinachopunguza kabisa rushwa.
Zaidi, vigezo vya uchambuzi na bajeti ya Taasis ni sehemu muhimu ya kumpata...
Simba walianza way back 1993 kupambania haki baada ya Stella Abidjan kuchezesha wachezaji ambao hakuwa kwenye orodha ya usajili.
Kama umeanza kufuatilia mpira juzi, sio rahisi kujua Umuhimu wa Simba katika Soka la Tanzania barani Africa.
Mtu anaye dhihaki huu mradi, ni mtu wa ajabu sana. Sijui lini Watanzania tutatoka kwenye lindi la Ujinga.
Swala la mafuriko ni force-majure, huwezi kutoa lawama moja kwa moja kwa mradi, wakati hata Kawe mafuriko yalipita na watu wakapoteza maisha.
Kwa akili ya kawaida, mradi kama ule hauwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.