Recent content by Stability

  1. Stability

    Kuna magari ya kutoka Moshi hadi Mombasa?

    Nisaidieni wakuu. Au hadi nivuke boda ya holili au pale pale moshi mabasi yapo?
  2. Stability

    Je wewe au rafiki yako u/aliwahi kufanikiwa kibiashara baada ya kumshirikisha mganga?

    Kuna nyakati unaweza kupitia katika biashara yako ambapo unaona unaelekea kuanguka vibaya sana na bado unafamilia na bills nyingine. Inaweza kuwa sio usimamizi mmbaya ila labda ni factors za hali ya kiuchumi na factors nyingine ambazo hata wewe haulewi mambo yamekuharubikiaje. Inapelekea sasa...
  3. Stability

    Zipi tamu na chungu za mimi kumiliki BMW X3

    Hahaahh uliwabeba sanaa eti hahaha
  4. Stability

    Zipi tamu na chungu za mimi kumiliki BMW X3

    I think i should go for vanguard maaana harrier zimetapakaa pia rush siipendi umbo lake, au kuna suv ya toyota nyingine bomba?
  5. Stability

    Zipi tamu na chungu za mimi kumiliki BMW X3

    Kweli kabisa pia kwa sababu ya upatikanaji wa spares.
  6. Stability

    Zipi tamu na chungu za mimi kumiliki BMW X3

    If it were you, which one will u choose Forester Vanguard Harrier Rav4 Outlander
Back
Top Bottom