Recent content by Stability

  1. Stability

    JamiiForums Tanzania Ndugu Anasbo na shimba ya buyenze wazee wa makebo makubwa wamepotelea wapi😁

    Mimi ni wewe, na log out sasa hivi kujijibu
  2. Stability

    JamiiForums Tanzania Ndugu Anasbo na shimba ya buyenze wazee wa makebo makubwa wamepotelea wapi😁

    anasbo na Shimba ya Buyenze natumaini mko poa na salama. ule uzi pendwa sasa hivi mwenye kiti ni Swahili AI, amewakaimu kwa muda😁
  3. Stability

    JamiiForums Tanzania Kama huu ni mwaka wa 6 wa kujitegemea dsm na bado unalala chumba kimoja na madumu ya maji na mengine hadi ndio umeegeshea sabufa, rudi tu malampaka.

    Hii sio kejeli Hii ni wake up call Rudi nyumbani, bado ardhi ni milioni mbili hadi mln moja unapata.
  4. Stability

    JamiiForums Tanzania Kuna tofauti kati ya kuishi Dar es Salaam na kukaa Dar es salaam. Wengi wetu tunakaa Dar es salaam

    Umeshtuka usiku unasikia kiu, sasa lile wenge la usingizi unasahau dumu ambalo lina maji ya kunywa unachanganya na ndoo yenye maji uliosuuzia vyombo vichafu usiku unayochota na kunywa, 🤮
  5. Stability

    JamiiForums Tanzania Sasa hivi mabinti wenye makebo makubwa wanakimbilia Nyamongo. Ni kamji kadogo ila kana matajiri wengi mnoo

    Watu wa Tarime Najua mnaufahamu kamji ka nyamongo, na haswa watu wa kule walivyo na sifa sana Sio Katoro tena, ni Nyamongo
  6. Stability

    JamiiForums Tanzania Kwa heshima na taadhima, naomba uiangalie hii video hadi mwisho

    Mkaishia kuwatetea humu licha ya unyama waliofanya huku mkisema anachukiwa kisa ni muislam. Ila nyie watu, basi tu
  7. Stability

    JamiiForums Tanzania Kwa heshima na taadhima, naomba uiangalie hii video hadi mwisho

    HII SIKU HAPA JUU ITAKUMBUKWA MILELE. TUWE NA SUBIRA TU.
  8. Stability

    JamiiForums Tanzania ATTENTION kwa wanawake ndio SEX kama ilivyo kwa wanaume

    Nimekufatilia sana kijana , umeanzia mbali kutafuta attention ya Seran na Mallerina alafu baadae uwaambie wafungue inbobo zao, kumbe mtoa mada yuko sahihi😁 By the way Missy Gf mimi nipo single, mambo🤩😘
  9. Stability

    JamiiForums Tanzania Je, akili au ufahamu (consciousness) wa binadamu unatoka wapi ndani ya mwili?

    Nafikiri ufahamu na akili ni vitu viwili tofauti Alafu kwa nini wadada wenye makebo makubwa wana ufahamu mdogo
  10. Stability

    JamiiForums Tanzania Ghafla taifa limehamia kwa zuchu na diamond sasa, yani mtaendelea kuchezewa akili kama tom and jerry😅

    Nasikia watoto wenye makebo makubwa watakuwepo , ngoja tuone🔥
  11. Stability

    JamiiForums Tanzania Ghafla taifa limehamia kwa zuchu na diamond sasa, yani mtaendelea kuchezewa akili kama tom and jerry😅

    Aliepo mitaa ya tabata, shukia hapa mi casa lounge , karibu
  12. Stability

    JamiiForums Tanzania Kati ya Fani zifuatazo unashauri kijana aliyemaliza chuo ajifunze kwa future?

    Kama ni binti ana Makebo makubwa ajiunge tu insta na tik tok, miaka mitatu tu anarudi na crown kwenu
  13. Stability

    JamiiForums Tanzania Hivi tuna uhakika kuwa hawa watoto wa late 2000s na 2010s wanaujua ukimwi nje ndani. Tuendeleeni kuwakumbusha

    Hao mabinti na vijana wa 2000 wanafukumuana Makebo sio mchezo
  14. Stability

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran Na Marekani: Kuangamia Kwa Wote

    Kwa umri uliofikia unapaswa kuwa mkweli. Acha kumchafua nyerere kwa uongo wa kidini Acha kusambaza itikadi kali za kigaidi kisa tu wana share dini moja na wewe.
Back
Top Bottom