Hii ya maji majji uko sahihi😁😁
Makebo aliwahi kuja na ya krraang ila akakosea kujiita makebo kwenye comment, vijana wakamavaa😁😁
ILe ya kraanga ikawq ina muandama sana secretarybird ila mbona ilipotea 😁😁, kandege hatariii na chizi maarifa mshikaji wake
Umeshtuka usiku unasikia kiu, sasa lile wenge la usingizi unasahau dumu ambalo lina maji ya kunywa unachanganya na ndoo yenye maji uliosuuzia vyombo vichafu usiku unayochota na kunywa, 🤮
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.