Recent content by Stability

  1. Stability

    Kuna mtu ananiuzia pixel 6a mpya kwa 450,000. Ni sahihi thamani hii au napigwa?

    Ahsante,Naona pro 7a anauza 470, ngoja nimuombe kwa 450
  2. Stability

    Niko hapa kwenye event ndogo ya shemeji yangu na mkewe kutimiza miaka mitano ya ndoa, kuna huyu mdada kila kona anawafata fata kwa nyuma🤔

    Ndio mkuu. Kuna mdada hapa ndio ananiambia Ila itakuww jamaa bado anachapana na huyu mdada, na amevaa makusudi hivi ili kummuumiza mke ww mshkaji
  3. Stability

    Kuweni makini mademu wa pale riverside wana scabbies

    Aisee nimewashwa mwili mzima wiki 2 hadi nikatumia ile dawa kama maziwa ndio nimepona duh
  4. Stability

    Wakuu nisaidieni kujua dawa konki ya kikohozi kikali

    Sioni mafanikio mtalaam, nishapiga
  5. Stability

    Wakuu nisaidieni kujua dawa konki ya kikohozi kikali

    Kikohozi kikavu, usiku nashtuka kukohoa Karibuni jamaa
  6. Stability

    Ila kiuhalisia unampaje mtu zaidi ya 5000 kwa ajili ya short time.?

    Hii ni hujuma vijana wa kileo wanayofanyiwa kwa kubabaika na muonekano ili kiuhalisia bado huo ni mlupo na pochi aliyonayo ni hio hio hata zubeda wa silimang'ombe ndani ndani anayo. Kitendo ambacho asilimia 85 ya vijana hawawezi kuvuka hata dakika 2 ndio mtu analipishwa 10k, 20k, hadi 50k.
  7. Stability

    Bora nikusanye mbwa na paka wa mtaani niwalee kuliko kusomesha mdada eti kisa mapenzi na ahadi ya kuoana

  8. Stability

    Hili penzi za mahondaw na smart 911 linakera sasa😂

    Kila muda cc mahondaw, hata uzi wa kuomboleza cc mahondwa, we ngoja siku nikiwashika pamoja👇🏻
Back
Top Bottom