Bora JPM apuzishwe sasa nchi ina amani sana hii, Mama aupga mwingi
Mi5 tena kwa Mama, Wote tunampenda, Wakat wa JPM tulkuwa tunatekwa sana lkn kwa Mama ni full amani hakuna mtu anaekufa chini ya Mama, Mama aongoze milele.
Wewe nae ni kiande km viande wengne mzee😁 mm kutokuwa na buku bank Haitoi ukweli kwamba hakun mtz atakuj kuwa Tajiri namba 1 duniani.
Huyo Mond pale Kawe hafui dafu, mnapamba ujinga tu.
Nisisikie tena mtu anamsemea vby JPM, Mungu atazidi kuwanyoosha na si ajabu hata huyo mzee alfurahia sana kifo cha Magufuli, mtu alkuwa anapambania taifa mnamjaza na kumsakama na mambo kibao.
Baada ya kifo cha JPM some of you dare to say we are now free, we are now new ,you enjoyed the death of...
Vijijini wazee ni wengi kulko mjini, Kilimanjaro watu wengi wanaishi ktk mazingira ya vijiji, mji ni mdogo sana, mjini ni kaeneo kadogo tu hvo wana maintain utulivu ukizingatia hospitals zipo na zina mudu watu ,Unlike mikoa mingne watu wengi huduma za kijamii chache ,Refer : Mwanza and Dar es...
Mwanza Kule kuna watu wana mikwanja ,Arusha huko nako wapo Dar ndio kbsaaa na wote wala hajawakarbia kimkwanja hpo kuwa tu tajiri namba 1 wa Tz ni kimbembe kwake.
Kina Drogba, Akon ,Samwel Eto'o wanamiliki migodi mikubwa sana huko makwao na wamejengea vijiji vyao mahospital, shule, umeme...
Huyo ni mTZ I once saw him in KAHAMA ni shabiki wa Simba Sc kindakindaki na anaongea kiswahili fresh kbs ,sema Kuna Parody la South Africa linamtumia sana.
Afrika hasa Tanzania tunahitaji kutawaliwa tena.
Msaada wa kufufua reli yenye share ya nchi mbili! Tz na Zambia wameshindwa kuipambania hyo reli kweli!?
NB: Huo sio msaada ni wizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.