Pole yake huyo dada na familia yake.., kweli huu ni uzembe wa kutowajari watoto iliyopelekea wakajifunza tabia mbaya toka kwa marafiki zao bila ya wazazi kujua.
La kushangaza, baba anatetea wasipelekwe Segerea!!.., ingekuwa ni mtoto wake wa kuzaa amefanyiwa na watoto wa ndugu yake...
Jamani mambo yanazidi kuwa magumu kila kukicha, leo kwa wenzetu wa Zain, kesho it might be you or me.., hali inatisha sana. La muhimu ni kujipanga upya na tuombe Mungu atunusuru na hili balaa.. sasa Africa ndo tunaanza kuona effects za financial crisis..,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.