Point no 4, Refer sadaka aloitoa Mungu kumtoa Yesu Kristo, Ibrahimu kumtoa Isaka. Hivyo basi huoni ya kuwa Mungu mwenyewe ndio muanzilishi wa Sadaka???
Sadaka ni divine invitation, Kamsome Kornelio, Dorcas na Daudi.
Mkuu nafikiri umesahau kujiuliza maswali ya aliyewatoa walinzi wote wa kwenye nyumba za viongozi.
Pili hebu jiulize hata aliyetoa CCTV cameras.
Tatu jiulize kwanini interejensia ya polisi haikupata taarifa kama wanavyopatataga taarifa kwenye vikao au mikutano ya ndani ya chadema?
Mkuu tandamu ni gari ambayo inauza sana sokoni, kwamaana wateja wake ni wengi sana. Lakini kipisi kipo slow kidogo kwa kujiuza sokoni japo kinadumu sana kwenye issue za matengenezo. Tandam inahitaji ovaollu kila baada ya miezi 6 hadi miezi7
Mkuu mie nitakujibu kiufupi, kwanza hongera sana kwa hiyo nia ya kutaka kufanya hiyo huduma.
Jamii yetu inauhitaji mkubwa sana was hizo huduma hasahasa maeneo ya mijini kwakuwa muda mwingi watu wako bize kutafuta maisha so wanahitaji hizo huduma ili watotot wao wapate sehemu ya kushinda majira...
Japo zote ni kaazi kama zilivyo kazi nyingine. Ila huwa ninaumia sana kuona walimu hawataki kujiongeza kutoa maarifa yao kwa jamii zinazowazunguka kwani taifa letu( jamii) limeandamwa na adui ujinga na wao walimu ndio watu pekee wakutusaidia kumuondoa huyo adui ujinga.
Rais hahusiki na hayo mambo ya kutangaza mambo ya uchaguzi. Ila kumbuka ya kuwa yule ni mbunge wetu na tunampenda na tunamuombea apone haraka na kurejea kwenye majukumu yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.