Recent content by squreroot

  1. S

    Kwa nini umeokoka halafu una mapepo??

    Dah hata mie huwa na wasi wasi na imani ya kilokole kwasababu mimi ninavyojua kristu akiwa ndani yako pepo mchafu hawezi kuja wala kusogea ila walokole wengi wamejawa na mapepo huanguka hovyo makanisani mwao , hapo ndipo huwa najiuliza kila siku imani kwa Mungu na Yesu ikowapi? Mtoa mada...
  2. S

    men men men

    Dah mie namzimia huyu price , I wish nimpate awe wangu wa milele
  3. S

    Niliapa kutosimulia

    Dah pole sana , nimeisoma hadithi nikaitafali , kwa upeo wangu hilo ni dili tena huyo rafiki yako ndio aliopanga nao , hapo kwenye siti ndipo nahisi rafiki alishiriki na jamaa , na huyo mzee naye pia alishiriki kwenye mchezo . Rafiki yako alikiwa anajuwa weakness zako hivyo wakapanga kumtafuta...
  4. S

    Natafuta mume wa kunioa tafadhali

    Upo teyari kuhamia dhehebu jingine la kristo
  5. S

    Marriage for revenge

    Mie nakushauri tumia ushauli vizuri uliopewa samehe 7x70 , mpe adui yako chakula ale kisasi ni changu mimi (Mungu) naye atasikia aibu kama amewekewa kaa la moto kichwa mwake. Ndivyo Mungu anavyotuamuru .
Back
Top Bottom