Nikimtumia mtu tafadhali nipigie, yeye anapokea ujumbe wa tafadhali nipigie ukiwa na namba tofauti na namba yangu. Mimi namba yangu ni 0765637XXX, je tatizo ni nini?
Habari wana janvi. Leo nimepatwa na kitu kisicho cha kawaida na ninaomba msaada juu ya hili. Nina line yangu ya vodacom ambayo namba yake ni 0765637×××. Ninapoitumia line ya namba hiyo kimtumia mtu tafadhali nipigie yeye anapata ujumbe huo lakini namba inakua ni tofauti kama inavyoonekana hapa...
Aisee, niliona kupitia wild animals channel huyo samaki kwa umeme anaozalisha mwilini mwake anaweza unaua mpaka mamba. Pia kuna movie inaitwa amazing spider man wamemtumia wakionyesha kiwanda kinazalisha umeme kwa kuwatumia hao samaki.
Wewe umeona ENGLISH ndio lugha pekee ya kujieleza vizuri...kuna kinywaji kinaitwa GONGO huwa wanywaji wake wanaongeaga kwa syle hiyo ya kwako, ila wenyewe wamekuzidi kidoogo kwa ustaarabu.
Na ungekua unaishi nje ya tanzania ingemind kuwa kuna baadhi ya watu hawajui wilaya, au vitongoji vingine vya tanzania ingawa wanaishi tz. mm nilipo ukiniuliza ofice ambayo haiusiani na mishe zangu za kila siku sitakua na jibu la kukupa.
Kwa hiyo mtoa mada unabisha kuwa kipindi hichi tangu january 2015 ajali kwa njia t
Ya barabara sio nyingi kulinganisha na siku za nyuma, ni sawa na siku za nyuma au vp?
Hii style nilikua siipendi kwa sababu ilikua inanishindaga, ikianza tu watu wamejipanga mm nakaa zangu pembeni nawaangalia huku nimkodolea dj atamaliza saa ngap. Ila nilipokuja kuijua duuuu ndio nipogundua kwann ikianzaga hua dj anachukua hata masaa mawili kubadili mziki. Kwaito ipo poa ila kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.