Recent content by spyboss

  1. spyboss

    Yuko wapi Shushushu Diwani Athumani Msuya

    Wananzengo nimeamka toka usingizini baada ya kuota ndoto ya kutisha. Yupo wapi huyu aliyewahi kuwa shushushu number moja Tanzania. Narudi kuutafuta usingizi tena.
  2. spyboss

    DOKEZO Service Road Kuelekea Stendi ya Magufuli Stendi ya Daladala Mbezi Mwisho

    Wakuu habari za mchana. Serikali yetu inapambana sana kuwaletea wananchi wake maendelea. Naipongeza kwa kazi nziri. Pamoja na hayo nna jambo ambalo limenifanya niandike uzi huu. Kuna service road zimejengwa ili kusaidia kuingia Magufuli Stendi na Stendi Ndogo ya Daladala Hapa mbezi. Ukiwa...
  3. spyboss

    Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

    Hawana akili hawa, walishawahi kumtandika Rais Mwinyi kwenye hafla moja apo awali
  4. spyboss

    Rais Samia afanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Angellah Kairuki aenda TAMISEMI, Balozi Mulamula atemwa, Bashungwa ahamishwa

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri Kama ifuatavyo: Amemteua Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Awali Mhe. Dkt.Tax alikuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la...
  5. spyboss

    Vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia wazidi kushamiri nchini. Padri atuhumiwa

    Kunapotokea kashfa kama hii Serikali na Kanisa kama huwa wanaficha ficha hata mhusika hawekwi wazi. Ingekuwa ni chalii tu wa kitaa kafanya hili jambo tungekuwa tunamjua mtuhumiwa na hata ukoo wake mzima.
  6. spyboss

    Vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia wazidi kushamiri nchini. Padri atuhumiwa

    Wadau Kama uzi unavyojieleza, Pole kwa watoto walioathirika na jambo hili
  7. spyboss

    Shelutete na Lema wang'olewa TANAPA

    Hii ndio wanaita kustaafishwa kwa manufaaa mapana ya ummaa au?
  8. spyboss

    Video: Ole Sabaya, Anavuna alichopanda Mapema!

    Kwani Manara alivovaaa kama mama yeyooo alikuwa mmasai
  9. spyboss

    Video: Ole Sabaya, Anavuna alichopanda Mapema!

    Wanaolialia watakuwa wamelipwa tsh ngap[emoji23][emoji23][emoji23]
  10. spyboss

    Dar es Salaam: Askari 300 waongezwa kudhibiti panya road

    Makala anaongea ongea tu hamnalolote, mkuu wa mkoa anapiga domo tu hamna vitendo!!!
  11. spyboss

    Mahakama yampiga stop Joseph Selasini na wenzake. Mbatia anazidi kupeta

    Mzee 30 anavaa rozari halafu anafanya mambo ya kihuni huni
  12. spyboss

    Uzi maalum kwa jobless kufahamishana mbinu wanazotumia kuishi

    Masista duu jobless full kupigwa pu*mb* mradi aishi
Back
Top Bottom