Recent content by spodo

  1. spodo

    Karibu FAGO express, kampuni iliyosajiliwa kutoa huduma ya usafirishaji na uagizaji wa bidhaa kwa wateja

    Habari, naona ndugu leo jumatano na mizigo yangu sijapata wala hujanirudia kwa taarifa yoyote. Ulihaidi nitapata mizigo jana jumanne. Imekuwaje??
  2. spodo

    Karibu FAGO express, kampuni iliyosajiliwa kutoa huduma ya usafirishaji na uagizaji wa bidhaa kwa wateja

    Una maanisha mizigo yangu haijafika Dar au imeshafika? Nijibu hili hlf nitakujibu kwa proof. Maana jackson na mul hat wamenieleza tofauti which ni uongo mpaka sasa hv hamna mlichofanya na simu mnazima au hampokei. Hapa ndio tatizo la kufanya kazi na kampuni changa kwasababu hawajui hata umuhimu...
  3. spodo

    Karibu FAGO express, kampuni iliyosajiliwa kutoa huduma ya usafirishaji na uagizaji wa bidhaa kwa wateja

    900940093913 huu mzigo umefika 20th August wa HK na haujafika mpaka leo bado siku chache tu iwe mwezi 900940093957 huu umefika kwenu mwisho wa mwezi wa nane 26 mpaka 28 nao haujafika nao ni wa HK. Mbaya zaidi hampokei simu wote mpaka mabinti zenu na mnazima pia. Nipe sababu kwann sijapata mzigo...
  4. spodo

    Karibu FAGO express, kampuni iliyosajiliwa kutoa huduma ya usafirishaji na uagizaji wa bidhaa kwa wateja

    Huduma zenu mbovu sana, hamna adabu na hamjali wateja. Simu hampokei leo siku ya 5, mizigo yangu ina 26 days hlf unasema unaagiza kwa haraka. Mwambie Jackson akafanye shughuli nyingine hakuna mtu atakaekubali ujinga na utoto mnaofanya. Kama mnakosa mpaka hela ya kutoa mpaka mizigo for a week ni...
  5. spodo

    House4Sale Nauza nyumba ipo Mbeya

    Video haitaki kucheza. Km unaweza naomba nitumie picha au video kwny message humu jf
  6. spodo

    Thread maalum ya wapenda Pikipiki kubwa

    Pamoja na mambo mengine raha ya pikipiki ni ile sauti yake nzito Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
  7. spodo

    Thread maalum ya wapenda Pikipiki kubwa

    Yamaha Dragster 400 Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
  8. spodo

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

    Maongezi ya bei kupungua yapo?
  9. spodo

    How I Met My Wife

    Dah. Safi sana Sent from my iPad using JamiiForums
  10. spodo

    Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

    Mkuu nahitaji set inayokuwa Na jack ya umeme, mashine yakufungulia nut za tairi ya umeme, Waya ya kuboost gari Na kimashine chake Na vitu vingine vitakavyokuwa humo. Nimeziona alibaba nadhani utakuwa umenielewa. Asante Sent from my iPad using JamiiForums
  11. spodo

    Photocopy and printer repair

    Habari Mkuu, Nina zangu nauza nimefunga ofisi, mashine ni ir 2800, ir 3300 Na ir 2545i (haina power supply). Kama tunaweza kufanya biashara au unateja tuzungumze. Asante Sent from my iPad using JamiiForums
  12. spodo

    Offer kwa wanaohitaji huduma ya graphics designing

    Uko mbeya kijana? Hapo uwamu saccos?
  13. spodo

    Tunaomiliki magari ya mzungu tukutane hapa

    RRONDO una spare tairi ya BMW 5 series 2006
Back
Top Bottom