Recent content by Spicegal

  1. S

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    Duh sijui kumetokea Nini naona Asilimua kubwa wamelipwa Ila najiona sijalipwa ati.. Mpaka nikahisi wamenitoa kwenye Payroll Cc: jeneralikevin
  2. S

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    Ni mimi tu ndo sjapata mshahara au
  3. S

    Haya ndio maboresho ya Mtaala wa Elimu yanayoenda kufanyika Tanzania katika jitihada za kuboresha Elimu

    Sasa itakuwaje kwa sisi Tuliosoma Diploma na Tunafundisha Secondary Mkuu au ndo tutapata RIDANDASII.
  4. S

    Serikali kurudisha tena Mswada wa Bima ya Afya kwa Wote tena bungeni kesho 01/11/2023

    Inafaida Gani kwetu wenyewe wapange wakimaliza watuletee tushazoea
  5. S

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    Hapana wengi wamepata na tumepata mkuu me nimepata na na nikoserious kuhusu hilo
  6. S

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    Anhaaa Tamisemi tumepata siku nyingi huenda serikali kuu kuna shida
  7. S

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    Mbona tayari au Tamisemi imependelea Halmashauri yetu jaman 😅😅
  8. S

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    Ndyo maana hajui machungu tunayopitia huyoo😅😅
  9. S

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    Hapana kaka angu sijadangany Jana nimepata Maokoto Ya mshahara Nashukuru Mungu ila wangeongeza siku ningekufa... Ila wengine wa NMB wamelipwa leo kwa halmashauri yetu na wote wameshalipwa kwetu sasa sjui kwa halmashauri yako uliza kwa watu wengine unaowafahamu mshahara jana ulitoka
  10. S

    Itakuumiza/itakusikitisha: Ukahaba wa Tabora

    Chezeya wanyamwezi wewe
  11. S

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    Hahaha Tatzo huku Tuliko utaanzisha biashara Gani
  12. S

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    Kama unachukulia NMB ndo bado ila CRDB tayari
  13. S

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    Ndyo umeshatoka mkuu nimeuona tangu saa moja natumia CRDB na nishautoa siku nyingi
  14. S

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    Jamani shukrani sana kuna wale walionitumia Maokoto ya pole na wale walionipa pole Pm mbarikiwe sana Mungu awzidishie na Mshhara tayari umetoka Nimefurahi 😅😅
Back
Top Bottom