Hapana kaka angu sijadangany Jana nimepata Maokoto Ya mshahara Nashukuru Mungu ila wangeongeza siku ningekufa...
Ila wengine wa NMB wamelipwa leo kwa halmashauri yetu na wote wameshalipwa kwetu sasa sjui kwa halmashauri yako uliza kwa watu wengine unaowafahamu mshahara jana ulitoka
Jamani shukrani sana kuna wale walionitumia Maokoto ya pole na wale walionipa pole Pm mbarikiwe sana Mungu awzidishie na Mshhara tayari umetoka Nimefurahi 😅😅
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.