Mtoa post jua baraka zile zilihama kutoka Israel ya mwililini na kwenda kwa Israel ya rohoni, Taifa unaloliona leo la Israel ni sawa na Taifa lolote lile duniani, ndio maana umeona limeshikamana na Taifa lenye nguvu duniani ambali ni USA.
Nchi inawekewa vikwazo vya kiuchumi wewe unaleta porojo hapa,Bank ya dunia imejitoa kufadhili miradi ya tz, biashara zinakufa, migodi inafungwa, watu wanakuwa masikini wewe umebaki na porojo tu! Mpango kashakiri uchumi wa tz una hali mbaya sana. Kama kuna kundi la watu wanaoikwamisha serikali...
Fao la kujitoa ni muhimu liwepo maana wafanyakazi wanategemea ndio akiba yao baada ya kuwa nje ya ajira bado serikali hii inabana eti mpaka miaka 60 huu ni uonevu mkubwa sana eti mtu afe njaa akisubiri kufikisha miaka 60! Kwa nini kwa suala hili wabunge wasiungane kindakindaki kuhakikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.