Mkuu mimi nina subaru forester XT ya 2009 na mara ya kwanza nikatumia oil ya 10W60 atlantic, baadae nikaja nikatumia Liquimolly 5W 30 Fully synthetic ila baadae nikaambiwa hizo zote sio oil nzuri ndio nikaambiwa nitumie Quartz Total 5W 30 fully synthetic hapo vipi mkuu?
Cha kufia nini na maisha magumu hivyo.. si utafute mke wako mmoja umtunze, umpende alafu ujipimie mbona watu mnapenda maisha ya shida hivyo bila sababu ya msingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.