Recent content by speki

  1. S

    Naomba nondo kuhusu gari aina ya Subaru Forester XT

    Mkuu mimi nina subaru forester XT ya 2009 na mara ya kwanza nikatumia oil ya 10W60 atlantic, baadae nikaja nikatumia Liquimolly 5W 30 Fully synthetic ila baadae nikaambiwa hizo zote sio oil nzuri ndio nikaambiwa nitumie Quartz Total 5W 30 fully synthetic hapo vipi mkuu?
  2. S

    Namna sahihi ya kutafsri majibu ya VVU

    Ni kuwa na mpenzi mmoja na kutulia ndio suluhisho pekee
  3. S

    Matured born again christian men for marriage

    Una watoto wangapi
  4. S

    Kitendo cha Israel kushambulia Iran siku ya sabato hivi Israel ya sasa inafuata misingi ya dini ya kiyahudi?

    Umeshiba makande huko unakuja kuhara hapa, wakati Irani wenyewe wamesema shambulio lilikuwa baya sana
  5. S

    Baada ya matendo yake sina hisia nae tena, nifanyaje?

    Ondoka wewe huwezi kaa sehemu huna hisia
  6. S

    Haya maelezo yanaonesha uimara wa Israel au udhaifu wa Iran?

    Huyo mmama anaongea hadi raha
  7. S

    Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

    Safi sana Israel chapa hayo magaidi
  8. S

    MWANAUME INGIA HAPA

    Cha kufia nini na maisha magumu hivyo.. si utafute mke wako mmoja umtunze, umpende alafu ujipimie mbona watu mnapenda maisha ya shida hivyo bila sababu ya msingi.
  9. S

    Kaokoka lakini vizinga ananipiga ila kutoa mzigo hataki. Nifanye nini?

    Yani 60,000/= tu ndio unalia lia hivyo
  10. S

    Abd Al Kareem Qassim ataka yeshe, Israel muwe na ubinadamu basi. Deputy Commander wa Quads auawa

    Hahahah hakuna kucease fire hapa, Isarael pelekea fire hao magaidi fyeka wote dunia iwe na amani
  11. S

    Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa mamlaka ya Lebanon na watu wake

    Bonge moja la speech kutoka kwa bonge moja la kiongozi
  12. S

    Natafata mume, mwenye sifa hizi

    Mbona hujaweka vigezo vya unaemhitaji sasa na hujaweka vigezo vyako
Back
Top Bottom