Kuna mkereketwa mmoja wa CCM ambaye pia nina mashaka tele na upeo wake katika kuyaelewa mambo, ameandika kwenye ukuta wake hivi: “Wacha vyama vya upinzani vife. CCM yenyewe peke yake ni zaidi ya vyama vingi.” Akamalizia na kuhoji, “Unabisha?”
Hili inawezekana pia linawakilisha mawazo ya...