Recent content by Spartacas

  1. S

    Lowassa na Kiingereza chake!

    Viongozi wa Tanzania waliokuwa wazuri wa lugha ni pamoja na Mkapa, Nyerere, Abdul Jumbe, Dk Bilal, Salima Ahmed Salim, Warioba, Samuel Sitta, Mwandosya, Mwakyembe, Seif Hamad, Dk Omar Juma, Msuya, Malecela na wengine pia wabovu wa kiingereza ni Kikwete, Sumaye, Lowassa, Ngeleja, na wengine
  2. S

    Lowassa na Kiingereza chake!

    Prisoner 46664, Tafadhali sana JK kiingereza hajui vilevile, nitaupload link moja kesho uone alivyoharibu kwenye jukwaa la kukabiliana na anguko la uchumi duniani lililofanyika Arusha cha kushangaza alikuwa anaongelea mambo ya uchumi na ana shahada ya uchumi lakini alionekana hawezi kuchambua...
  3. S

    WHAT DO WE KNOW ABOUT RIZWAN KIKWETE? is it AS SAIF AL-ISLAM GADDAFI?

    Ridhwan ajue nae siku zinahesabika unajua Ridhwan na baba yake wanapoona mambo yaliyotokea Libya kwa Gadhaffi na wanae watatu kuuawa Muttassim, Khamis Ghadhaffi, Saif Al- Ghadhaffi-Al- Arab na kukamatwa Saif - Al- Gadhaffi Al -Islam pia kule Misri kwa Mubarak na mwanae Gamal kutiwa mbaroni...
  4. S

    Ngeleja atajwa kuchota fedha TPDC

    Ngeleja naye ni gamba mwizi mkubwa kibaraka wa Rostam ndio maana yuko wizara ile kupitisha madili ya Rostam kama fadhila ya milion 50 aliyopewa na Rostam kugombea ubunge Sengerema. hafai kuwa waziri heri ya January Mkamba angepewa wizara ila na Ngeleja akawa mbunge wa kawaida
  5. S

    Kauli ya Nape kuhusu magamba mapya CCM

    Gamba CCM ni Edward Lowassa, Chenge, Khamis Mgeja, Mabina, Ngeleja, Werema na Gunninita
  6. S

    Lowassa na Kiingereza chake!

    Wanajamii jaribuni kumuelewa "The Romantic" hapa mnapotosha maana halisi "The Romantic" alikuwa anaongea Edward Lowassa kama waziri mkuu mstaafu mwenye elimu ya masters tena kasoma UDSM shahada ya kwanza na ya uzamili kasoma Uingereza tulitegemea aongee kiingereza cha kueleweka vizuri zaidi...
  7. S

    Ngeleja atajwa kuchota fedha TPDC

    Huyu waziri Ngereja kwanini mpaka sasa yuko kwenye wizara hii nyeti? yaani ni waziri ewnye uwezo mdogo wa kuongoza sijawahi kuona karibu kila raia mtanzania anamlaumu kwa kusababisha madudu wizarani kwake yaani yeye ukilinganisha na January Makamba mwenyekiti wa kamati ya nishati na madini...
  8. S

    Lowassa na Kiingereza chake!

    Wanajamii jaribuni kumuelewa "The Romantic" hapa mnapotosha maana halisi "The Romantic" alikuwa anaongea Edward Lowassa kama waziri mkuu mstaafu mwenye elimu ya masters tena kasoma UDSM shahada ya kwanza na ya uzamili kasoma Uingereza tulitegemea aongee kiingereza cha kueleweka vizuri zaidi...
Back
Top Bottom