Huyu waziri Ngereja kwanini mpaka sasa yuko kwenye wizara hii nyeti? yaani ni waziri ewnye uwezo mdogo wa kuongoza sijawahi kuona karibu kila raia mtanzania anamlaumu kwa kusababisha madudu wizarani kwake yaani yeye ukilinganisha na January Makamba mwenyekiti wa kamati ya nishati na madini utadhania Makmba ndiye waziri na Ngereja ni mjumbe maana Ngereja uwezo wa kutetea hoja hana mbali na kuweka mikakati akiwa anaongea utadhani hata degree hana na anochonikera zaidi ni ile hali ya kupenda kuchanganya lugha ya kiingereza na kiswahili wakati hata kiingereza chenyewe hakijui shida sana huyu jamaa katuletea hasara kwenye taifa letu
Nasikia kawekwa pale ili apitishe madili ya Rostam maana alikuwa mfanyakazi wake na alimpa shilingi milioni 50 mwaka 2005 kwenda kugombea Sengerema na akishinda apewe wizara ya nishati na madini ili wapitishe madili kulipia gharama walizo mchangia bwana mkubwa kushinda urais kule Dodoma kwenye kura za wajumbe wa CCM maana walinunuliwa kama njugu kwa mtindo huo kama waziri kiraka kama Ngereja bado yuko wizara ile Tanzania hatutafika popote maana ni kibaraka wa mafisadi kwenye system alishawafanyia kazi yao kama bado wanampenda si wampe hata ubalozi Burundi autondokee? waziri gani kila kukicha unanndikwa wewe hata kama ni kuonewa ni wewe tu huandikwa una nini? ukiona hivyo watu wameona vitu fulani hufai kuwa waziri bali ni mwizi mkubwa
Nasikia kawekwa pale ili apitishe madili ya Rostam maana alikuwa mfanyakazi wake na alimpa shilingi milioni 50 mwaka 2005 kwenda kugombea Sengerema na akishinda apewe wizara ya nishati na madini ili wapitishe madili kulipia gharama walizo mchangia bwana mkubwa kushinda urais kule Dodoma kwenye kura za wajumbe wa CCM maana walinunuliwa kama njugu kwa mtindo huo kama waziri kiraka kama Ngereja bado yuko wizara ile Tanzania hatutafika popote maana ni kibaraka wa mafisadi kwenye system alishawafanyia kazi yao kama bado wanampenda si wampe hata ubalozi Burundi autondokee? waziri gani kila kukicha unanndikwa wewe hata kama ni kuonewa ni wewe tu huandikwa una nini? ukiona hivyo watu wameona vitu fulani hufai kuwa waziri bali ni mwizi mkubwa