Asante sana ndugu,sasa huko kwenye media kunakua na nini zaidi halafu piah kule kunakua hakuna labda gharama za kulipia chet tena hapo bado sina uelewa ndugu kama waweza nijuza zaidi ntabarikiwa sana.
Habari jamani,
Mimi nina shida ya msaada wa nini nifanye katika hili. Mimi cheti changu cha kuhitimu elimu yangu ya sekondari(form for certificate) kiliungua moto mara baada ya nyumba yetu kupata janga hilo la kuungua moto nyumba nzima.
Sasa nauliza nahitaji msaada wenu nyie kama wadau wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.