Recent content by Sparh

  1. Sparh

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hiyo code ni ya kampuni gani?
  2. Sparh

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Iv jaman Benfica atatoka kweli kwa Porto hiyo kesho?
  3. Sparh

    Naomba nisaidiwe kujua

    Napenda na natamani kujiunga na mafunzo ya JKT hivi natakiwa niwe na sifa zipi na ni muda gani hua zinapatikana.
  4. Sparh

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Hapo
  5. Sparh

    Nahitaji msaada wa kiushauri au mawazo katika hili ndugu wadau wa elimu na mambo mbalimbali

    Duuuh sasa watanipa vyeti vya aina gani mkuu...maana sio halisi
  6. Sparh

    Nahitaji msaada wa kiushauri au mawazo katika hili ndugu wadau wa elimu na mambo mbalimbali

    Asante sana ndugu,sasa huko kwenye media kunakua na nini zaidi halafu piah kule kunakua hakuna labda gharama za kulipia chet tena hapo bado sina uelewa ndugu kama waweza nijuza zaidi ntabarikiwa sana.
  7. Sparh

    Nahitaji msaada wa kiushauri au mawazo katika hili ndugu wadau wa elimu na mambo mbalimbali

    Habari jamani, Mimi nina shida ya msaada wa nini nifanye katika hili. Mimi cheti changu cha kuhitimu elimu yangu ya sekondari(form for certificate) kiliungua moto mara baada ya nyumba yetu kupata janga hilo la kuungua moto nyumba nzima. Sasa nauliza nahitaji msaada wenu nyie kama wadau wa...
Back
Top Bottom