unaonekana we ndo mtoto .nimeleta hii mada kwa lengo muhimu ninalolifahammu na ndio maana nimetumia neno NAOMBA KUJUZWA kama unaona huwezi kwenda na mada/kutoa msaada pita hiv
je mm nilichaguliwa mwaka jana pale tanga MARAMBA KJ 838 .nikachelewa kuripoti je nikienda tena nitapokelewa na niende hapo hapo au kambi yoyote ............
......... msaada wakuuu.............
samahani mtu yeyote aliyeko masumbwe au popote pale ambaye ana namba ya kamishna wa skauti wilaya ya mbogwe anipatie maana anatakiwa aje kambini hapa ushirombo bulega sec.school
Jaman mpaka leo cjapata ushaur kwa matokeo ya rafki yangu amesoma cbg amepata chem-E,bio-C,geo-B,bam-F gs-D.Anataka kozi zifuatazo medical lab,nursing,veterinary,agriculture .je anaweza kupata na chuo gani kitafaa kwa matokeo yake?je kozi gan zingine hasg za afya zitamfaa? ushauri jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.