Recent content by southern boy

  1. southern boy

    Nimepata mchumba mwenye sehemu mbili za uzazi

    Kaka kaka!! Hicho ni kisimi (clitoris) kuna baadhi vinakua virefu
  2. southern boy

    Njia ipi rahisi ya ku-intergrate malipo kwenye website?

    Kuna watz wametengeneza payment system wanaitwa shoket wengine ni swahiliespayment (Twitter wanatumia @shoketpayment wengine @swahiliespayment) wacheki may be watatua changamoto yako
  3. southern boy

    Watalam wa umeme msaada katika hili

    Nenda kwenye distribution board (mafundi wanapenda kuita main panel). kisha chomoa waya zinazoingiza power kutoka tanesco. Kisha chomeka waya za bettry, positive kwnye red/brown na negative kwnye blue, green usiitumie (funga tape kabisa). Alafu chomoa taa zako zote kisha weka taa za DC (ambazo...
  4. southern boy

    Msaada kimawazo kuhusu usajili wa kampuni ya Uhandisi

    Kwanza tafuta jina la kampuni kisha nenda brela ukasajili , baada ya hapo utaenda CRB (contractors registration board) ipo mitaa ya posta, utapewa form ambayo inaonesha unatakiwa vtu gani usubmit ili uweze kusajiliwa Kama kampuni ya ujenzi. Baada ya hapo Kuna kwnda TRA kulipa Kodi, halmashauri...
  5. southern boy

    Wasichana acheni uchafu huu

    haha haha na wewe mwanaume unakubali vp kunyonywa huko
  6. southern boy

    Katuma meseji kwangu badala ya kutuma kwa X wake

    Mkuu usiwaze Sana, wanawake sometimes huwa wanapenda Sana kuwafurahisha ma ex zao kwa kuwaambia maneno mazuri, mojawapo ya maneno hayo ni kuwaambia ma ex kuwa wamelazimishwa na wazazi kuolewa/kuwa na wewe.
  7. southern boy

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    hapana kaz haikuharibika sabab tulimkuta mtu wa chini yetu alishaingia kutuwalisha, sabab yeye alikua yupo permanent huko huko mkoani
  8. southern boy

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Miaka Kama mitano iliyopita, Kuna kampuni fulani nilikua nafanya kazi, makao yapo dar ila baadhi ya projects zipo mkoani. Mimi nilitumwa kusimamia mojawapo ya project iliyokua mkoa fulani, kabla ya kusettle nilikua natumwa huko kukaa Kama siku 3 kucheki project inaendaje Kisha narudi dar. Pale...
  9. southern boy

    Python Vs PHP Ipi inanifaa ? (All beginner's questions) Episode 1

    Tz PHP inasoko ila internationally haina soko kubwa
  10. southern boy

    Python Vs PHP Ipi inanifaa ? (All beginner's questions) Episode 1

    Kama target yako ni Tanzania pekee basi market ipo kwa PHP ila Kama target ni kuwa international, jifunze tu python, kama wewe ni programmer Anza kutafuta kazi za programming za nje (remote works) alafu uje tena
  11. southern boy

    Nijifunze php au node js na express?

    Nikujibu kwa ufupi Kama unataka kuliteka soko la Tanzania pekee jifunze PHP Sana , Ila Kama unataka kuliteka soko la dunia nenda huko node.js, The choice is yours upande wangu ni node.js
Back
Top Bottom