Tunaomba chaguzi zote zisitishwe mpaka ifahamike kisheria tunafanyaje kwa hili la zanzibar mh jk tuendelee kuwa naye kwa miezi mitatu uwekwe uwanja huru kipute kipigwe tena
Kwa hiyo za Tanzania bara halari ila za visiwani ndio zimekosewa.. Mm nadhani kwakuwa huu ni muungano na wahuku ufutwe kwa upande wa rais tuchague upya siku moja.
Kiukweli maalim sefu wanamuonea sana kisa kaongoza yeye uchaguzi ni batili angekuwa anaongoza shein ungekuwa harali.. Hivi demokrasia mnayoihubili iko wapi jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.