Zaidi ya theruthi mbili ya ndegevita za f-35 hazina uwezo wa kuruka meanwhile hawa upinde wanaza kwenda kupambana na red army ya mother russia
https://youtu.be/-o5-G3Wd3Gc?si=n1L060iL0BRvZF_I
Mzee mimi lengo langu kuu sio kukuthibitishia kuwa mungu yupo hilo ni swali ambalo majibu tunayo ndani ya mioyo yetu wenyewe
My point ni kuwa there are lot of thing in our universe we cant prove using our current technology but the are there
Ukweli ni kwamba hata wewe man of science huwezi...
Kuna siku nikiwahi kuwaambia wanajamvi kuwa science nayo ni dini kama dini zingine kwa sababu vitu vingi tumefundishwa kwenye the so called science especially evolution na big bang theory bila evidence zozote..JUST BELIEVE IT HAPPENED....IT IS A SCIENCE
Mkuu leo naandika programu ya kukokotoa calculus yenyewe inataka ikokotoe magazijuto? Then nisipo i update iende ikaziambie program zingine kuwa designer wetu hayupo
Suala la sisi kuamini au kutoamini kuwa creator wetu yupo haibadili fact ya kuwepo kwa designer wa hii planet
Na pia ukisema ili kitu kiwepo angalau kiweze kuonekana,kushikika, kusikika na kuhisikia
Vipi kuhuku mtu aliyezaliwa kipofu utamthibitishiaje kuwa kuna anga au mtu ambaye hanusi utamthibitishiaje kuwa kuna harufu ya kinyesi. Sauti nzuri ya njiwa utaielezeaje kwa kiziwi mm? How to you feel and...
Ipo hivi
Mara nyingingi binadamu tunaelezea kitu tukiegema kwenye suala la
-Muda(time),
-Space(mahala/eneo/sehemu n.k),
-Mada(matter)
Hivi ndio paramater(uwezo)zetu kwenye kupambanua mambo. Mfano mtu anapouliza muumba/creator alitoka au alikaa wapi(mahali) anavoumba au ni lini(muda)alifanya huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.