Wana-Group wote mliopo hapa jukwaani na raia wengine tunawaalika kesho kwenye Kesi ya Kupinga Uchaguzi wa Serikali za Vijiji, Kamati za Mitaa na Wenyeviti wa Vitongoji kusimamiwa na Wizara ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), iliyopangwa kwa mara ya kwanza kutajwa...
Mikutano ya hadhara sawa, agenda ya nchi je? Samia ametenda kinyume kwa kuwateua wapemba kuongoza mashirika ya umma yasiyokuwa kwenye mambo ya Muungano - TPDC na NHC- Chadema kimyaaaa! Chama kime-compromize hakieleweki! Salaam zao! Lissu naye amechomoka kimya kimya kurudi ulaya! These guys!
Njia za DART (Morocco/Mwenge DSM) kimya.
Mradi wa JNHPP (2025 badala ya June 2022).
SGR serikali iko kimya.
Barabara ya Kimara Kibaha 8 lanes kimya.
Daraja la Kigongo kimya.
Sijui iwapo cognitive competence ya Sasha iko sahihi. Miradi iligarimiwa na fedha za mikopo. Sawa! Lakini miradi haijakamilika na inaonekana serikali imeishiwa fedha za kukamilisha miradi hiyo wakati mikataba ya mikopo ya kugharimia miradi husika bado ni hai!
Sasa kwa nini miradi imesimama...
Huyo Rugambwa aliwkuwa proxy wa Katibu Mkuu Sefue. Ndiye aliyemuweka pale kwa kazi maalum (soma ku-facilitate wizi wa fedha za umma kupitia manunuzi ya umma). Kabla ya uchaguzi Mkuu 2020, akishirikiana na waziri Ummy Mwalimu, waliiba pesa kwa kisingizio cha kuchangia CCM. Ni kweli kuna mchango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.