wewe kweli GAMBA..sababu iliyoelezwa ya mh arfi kutupa kadi ni kakijana flani kasiko kua na adabu kumtuhumu kwamba amenunuliwa na pinda..NA kwa kumbukumbu yangu mh.Arfi tulisha kaa nae kikao sisi vijana kabla ya kwenda bungeni..nakumbuka ili kuwa mwezi wa kwanza..Vijana wa chadema mpanda...
kwa wana mpanda wanajua hilo......ikitokea leo Arfi ndio aliejenga chadema mpanda....alitika chama cha TLP na kuwashawishi viongozi wenzake TLP wamfuate....leo hii TLP imekufa mpanda.....kabla ya mwaka 2005 chadema ilikuwa haijulikani na haina nguvu mpanda mjini....!!!!!CCM wana asilimia 97 ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.