Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

Status
Not open for further replies.
Exclusive: mwanafunzi wa kwanza anatoka shule ya feza girls anaitwa patricia Protas, kumi bora kibaha haimo, kuna mwanafunz wa shule ya kata ameingia top ten (shule ya sekondari banjika-karatu). Usiniulize nilikotoa hizi data
 
baaaaaasiiiiii tokeo hilo la kidato cha nne na wengne tayari wamekua wakulima kwa mfano mwanafunzi alie somea igunga day Jonh mrefu kaona matokeo yanachelewa ile mbaya
 
Matokeo ya kidato cha nne kwa mitihani iliyofanyika October mwaka jana yanakaribia kutoka. Katika matokeo hayo ambayo vikao vyake vya mwisho ndio vinafanyika,ufaulu umnaonekana kushuka.Nyaraka zinaonesha kuwa Shule za Seminari,kama ilivyo ada,zinaoongoza.Baadhi ya Shule za Serikali zinajikongoja ingawa ufaulu katika Shule zetu za Kata ni wa utata mtupu.

Matokeo hayo ambayo nimefanikiwa kuyachungulia kiintelijensia yanaonesha kuwa wanafunzi wa Sayansi ndio waliofaulu zaidi ya wale wa masomo ya Sanaa. Wasichana,katika ufaulu wa kitaifa,wameng'ara kuliko wavulana. Hali katika Shule zetu za Serikali hasa za Kata si nzuri hata kidogo. Yakitoka,hapatatosha!

Matokeo hayo yanatarajiwa kutangazwa muda wowote hasa kuanzia tarehe 1/2/2013.

ANGALIZO: Siwezi kutaja kwa majina Shule za kwanza na za mwisho na wanafunzi wa namna hiyo kwakuwa matokeo rasmi hutangazwa na Serikali.



sasa kama shule za kata bado zina holahola na ni kwa sababu wanafunzi wanaopelekwa katika shule hizi ni wale ambao majibu yao ya mtihani wa DARASA LA SABA hayarishi,sasa kwanini mpango mzima wa utungwaji hadi utoaji wa matokeo wa mitihani ya kidato cha nne (CSEE) usipelekwe darasa la saba ili kupata suluhisho la tatizo hili
KULIKO KUENDELEA KUUDHALILISHA,NA KUUSHUSHA HADHI MITIHANI YA KIDATO CHA NNE (form four)??????
 
jaman bora ya mwaka jana kuliko mwaka huu lkn sio shida sana hongera kwa wanasayansi wote kwal la sayansi kukosewa ngara sijui kwa wengine kiukwel sayansi ndio shamba na siasa ni jembe mwisho nimalizie kwa hii life is not dialoge but debait always.........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom