Mjuzi wa mambo Mtoa mada umepotosha 100%. Kwanza tangazo lililotoka sio la tume ya katiba, ni Mkuu wa nchi aliyechapisha ripoti ya tume kama sheria inavyomtaka.
Nadhani hukusoma vizuri, ile rasimu ilitolewa kama ilivyochapishwa kwenye government gazette. Walaumu Ikulu, Katibu Mkuu Kiongozi na...
Naomba msaada wa chuo cha kusomea mambo ya maabara Dar es Salaam. Nina mdogo wangu amemaliza kidato cha nne na hakufaulu vizuri. Hata hivyo angependa akasome mambo ya nursing au laboratory technician. Kama kuna mtu anafaham chuo cha laboratory technician kilichosajiliwa kilichopo maeneo ya Dar...
Jamani mitandao yetu ya simu imebadili gharama zao kimya kimya. Mimi natumia airtel, wamebadili vifurushi vyao kwa kupunguza dakika walizokuwa wakitoa. Kwa maneno mengine wameongeza gharama.
Mfano, kifurushi cha wiki walichokuwa wanauza kwa Tsh1995 tulipata dk60 SMS 700 na 175MB. Sasa hivi kwa...
Wakala wa ukaguzi wa madini Tanzania wametoa taarifa kuwa kati ya July 2012 na Novemba 2013 wamekamata madini yenye thamani ya shilingi 15billion yakitoroshwa kupitia viwanja vya ndege.
Ukaguzi katika airports ulianza July 2012. Kabla ya utaratibu huo, nchi ilipoteza kiasi gani?
Hebu naombeni kumfahamu huyu jamaa anaitwa Ernest Massawe, mfanyabiashara wa kitanzania. Ndiyo mwenyekiti wa Swala Oil and Gas Tanzania. Inasemekana huyu jamaa ana makampuni mengi tu ya madini na kwamba ana ukaribu sana na watu wa system.
Hizo ni tetesi, hebu leteni ukweli wa mambo haya!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.