Leo naendelea na huu uzi pale ambapo niliishia mara ya mwisho..
Baada ya kuona ushahidi wa wana historia mbalimbali juu ya uwepo wa wayahudi weusi ndani ya Afrika kaskazini na Afrika ya magharibi... leo nitatoa ushahidi wa wana historia na kuonyesha kuwa wayahudi weusi walijenga Empires za West...
Uzi huu unaendelea tulipoishia jana.. jana nilitoa historia fupi ya wayahudi na jinsi gani walivyolowea Afrika,.. ila leo natoa maelezo ya wasomi wengi walioingia Africa na kuona jamii za wayahudi weusi ndani ya hili bara na pia nitatoa historia ya wayahudi wengi weusi walioletwa Afrika kutokea...
Je ulishawahi kuwaza kuwa labda jamii ya watu ambayo ilikuwa na watu maarufu duniani kama Yesu, mfalme Daudi na mfalme Sulemani walikuwa na ngozi nyeusi?
nakuletea taarifa kuwa jamii ya Wayahudi walikuwa na ngozi nyeusi na mpaka leo wayahudi ni watu weusi na kwa maana hii wewe unayesoma uzi huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.