Ona kiazi mwingine huyu , suala la shule kutokuwa na nyumba na pia nyumba za kupanga kuwa mbali na eneo la shule hata halmashauri Hilo wanalijua na kabla sijaondoka kazini niliwafikishia hili
Hata nikihudumia wananchi Haina shida naweza fanya kazi bila malipo lakini nikawa napata zaidi kuliko huo mshahara, ebu jaribu kujibu swali jinsi lilivyojieleza
Ukweli upi unaotaka ww, Mimi nikienda kazini najua nitatumia hela nyingi kwenye Kodi na usafiri hivyo kwenye mshahara sitautegemea kabisa na hata wasipo nilipa it's ok coz najitosheleza but Kuna mazingira nataka kuuaweka sawa, jaribu kujibu hoja usilinganishe utafutaji wako na WA wengine, Nina...
Wakuu Nina uwezo wa kutokwenda na maisha yakaendelea sina Nia ya kwenda kazini kisa hela ya mshahara huo ndo ukweli jikite kwenye hoja acheni perception mnazojaribu kulazimisha ziwe kweli, hoja ni kuwa inawezekana au haiwezekani?
Hello habari za majukumu!
Niliajiriwa serikalini (kama mwalimu)miaka miwili iliyopita lakini baada ya miezi 6 nikaacha kazi si kwa kupenda ila kutokana na mazingira magumu ya kazi na kujikuta mshahara wote unaishia kwenye pango la nyumba, nauli ya kwenda na kurudi kazini. Maana shule haikuwa...
Mimi bado sijaoa Ila tabia ya kusaidia watu ndo inanichelewesha yaani mtu akinililia shida Kama Nina 100000 afu anataka 80000 Nampa mm nabaki na 20000 . Ila nilichojifunza ni kuwa angalia mzazi wako baba na mama tu wengine wote Kama wanazaidi ya miaka 18 usiwasaidie mkuu.
Watalaumu mwisho wa...
Habari za usiku wakuu, Nina budget ya 6.2 milioni Ila wazo langu ni kufungua studio ya picha vipi kwa budget hio naweza fungua studio yenye viwango na Kama kuongezeka niongeze Bei gani maana hata fremu sina
Nawasilisha nitashukuru kwa michango yenu
Location : dar es salaam (kimara)
Pole Sana mkuu kama hauna mtoto oa mwingine kimyakimya hata usimtafute, pia oa anayekupenda sio unayempenda, maana mwanamke ukimpata kwa kuhonga huyo atakusumbua oa yule ambaye anaweza kuiba chakula kwao nakukuletea getho nenda kijijini huko wengi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.