Recent content by Sonji

  1. S

    JamiiForums Tanzania Interview sua morogoro

    Ahsante kwa ushauri wenu wakuu.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Interview sua morogoro

    Ahsante. Lkn nipo mbal hila tapiga simu kesho kujua zaidi maana hyo nafasi nimekumbuka nilituma maombi siku nyingi sana.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Interview sua morogoro

    Niliomba nafasi ya msaidizi wa ofisi lkn nilituma maombi tume ya utumishi ya ajira ndugu
  4. S

    JamiiForums Tanzania Interview sua morogoro

    Niliomba nafasi ya msaidizi wa ofisi lkn nilituma tume ya utumishi ya ajira ndugu.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Interview sua morogoro

    2550232504638 walitumia namba hii.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Interview sua morogoro

    Msaada jamani leo mida ya saa sita mchana nimepigiwa simu kutoka SUA MORO kuwa nahitajika kwenye usahili tarehe 30-31 je kuna yeyote mwenye taarifa kamili? Isije ikawa ni matapeli.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Zitto anautaka sana uenyekiti CHADEMA?

    Tuliisha mpuuza siku nyingi.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: CHADEMA muwasamehe Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo

    Mtaongea sana lkn maamuzi yashachukuliwa haturudi nyuma tunasonga mbele.
Back
Top Bottom