Msaada jamani leo mida ya saa sita mchana nimepigiwa simu kutoka SUA MORO kuwa nahitajika kwenye usahili tarehe 30-31 je kuna yeyote mwenye taarifa kamili? Isije ikawa ni matapeli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.