Recent content by songoo

  1. S

    Yerusalemu: Kikombe Kinachowalevya Mataifa

    You nailed it [emoji817]
  2. S

    Kwa aibu hii Iran ameshaitamani Israel, US ndo kinga pekee iliyobaki

    Exactly [emoji817] na ndicho kinachoenda kutokea hii ngoma imesukwa vizuri na Israel wenyewe wametamani Sana muda mrefu kuuvunja msikiti wa Al aqsa Naona kila dalili ya kujengwa kwa hekalu la Suleiman, lililovunjwa na kujengwa tena na Zerubabeli na kuvunjwa na Dola ya rumi 70 BK ambapo wayahudi...
  3. S

    Simba Kuanzia Round ya pili Ligi ya Mabingwa Africa

    Itoe horoya hapo haishiriki super league na Enyimba alichukua nafasi ya Al hilal ya sudani cause ya mchafuko.
  4. S

    Simba Kuanzia Round ya pili Ligi ya Mabingwa Africa

    Hiyo ni favor waliyopewa timu xote 8 zinazoshiriki super league kuanzia second round
  5. S

    Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

    Sio hao tu nasikia General surkovin na mkuu wa vikosi vya anga wa Urusi wako upande wa prigo(Wagner)
  6. S

    Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

    Sio utani ni taarifa sahihi kabisa kwa Sasa wakuu wa serikali na utawala wote wanaelekea St Petersburg inaonekana Moscow pameshakuwa pagumu.
  7. S

    Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

    Na kinachoogopesha mpaka Sasa hivi wamebakisha kilometer 320 kufika Moscow na hawakutani na upinzani mkubwa inaonekana hata jeshi limeasi kimya kimya.
  8. S

    Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

    Lukashenko amekimbilia Uturuki, Medvedev na familia yake wamekuwa evacuated kutoka Moscow, Putini ameelekea St Petersburg na wanajeshi wengi wa Urusi wanaungana na Wegner tuendelee kula mtori nyama zipo chini; Ila imekuwa ghafla sana tofauti na matazamio.So sad
  9. S

    Tetesi: Uzi maalumu wa tetesi mbalimbali za usajili kuelekea msimu mpya wa ligi 2023/24

    Sasa huyo jamaa ndio definition ya uzito haswaaa[emoji3][emoji3]
  10. S

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Bakmut Moto unawaka hatari super power anatema ndoano siyo muda mrefu mwiba wa samaki umenasia kwenye koromeo[emoji3][emoji3]
  11. S

    BRYANSK: Makombora ya Ukraine yaua watu wawili katika kijiji kimoja ndani ya Urusi

    Na inasemekana hii spring counter offensive inakuja kushangaza sio Urusi tuu na dunia Bali na waukraine wenyewe. Inaonekana term hii Ukraine na yeye anaenda kuteka baadhi ya maeneo ya Urusi Kama karata ya kumlazimisha aondoke kwenye mipaka yake.
  12. S

    Kibu D ninTishio Wapinzani anawatesa

    Hata kanoute, mmmh!
  13. S

    Kama timu yako ipo CAF Super League, usibabaishwe na mtu

    Na mbaya zaidi wanaoitwa kibonde(horoya) walifuzu champions league three consecutive, Hawa wenzetu zaidi ya miaka 20 wanahangaika wangekuwa bora wangefuzu huku.
  14. S

    Uchambuzi: Kwanini hawa nyota wa Simba wameachwa

    Ndugu mchambuzi unadhani ni kwa nini acheze na hizo timu hatua ya mtoano na siyo Al hilal?
  15. S

    Rais Samia: Suala la Katiba hakuna anayelikataa. Si muda mrefu nitatangaza hiyo kamati kwa kushauriana na vyama vyote vya siasa

    Hii nchi ni ngumu Sana kuendelea kwa sababu ya uwepo wa stock kubwa ya wajinga Kama wewe.
Back
Top Bottom