Habari ya kustua sana hizi, wahenga walisema mpe mchawi mwana amlee. manake hata mdhulu. Sasa huyu mchawi dola hana haya wala aibu. Kama walimshusha mzee wa watu katika Bus na kwenda kumuuua hawashindwi kumuwekea sumu mwenyekiti.
Hawa sio wengine, hawa ni viongozi waandamizi. Matendo yao ya nyuma yalishawishi watu kujiunga na chama, na wengine kuumia na hata kupoteza maisha. Sasa kuwa kiongozi wa umma kwa muda mrefu ni lazima wajikague athari ya matendo yao. Yaani wake zao wamebunya na wanafikia kuchukua kiinua mgongo...
Du hili umeandika sijui ni kitu gani na unataka kumweleza nani asiyejua kinachoendelea. Hawa wazee ni walevi wa madaraka na mabadiliko yamewatoa katika comfort zone zao na mademu zao.
Ugomvi wao wa kuwakumbatia mademu zao ambao ni Covid 19 umewashusha sana integrity yao kama wanamapinduzi wa...
Hizi ndio aibu za viongozi tulionao na wanapenda kudandia kila jambo. FIFA walikataza serikali kuingilia mchezo wa mpira sababu tabia za warasimu ni ubabe na kupenda kuabudiwa. Mkuu wa Mkoa mwenyewe kautaka sasa watu wakimjibu hawaangalii anacheo gani, kama anavyojibiwa kisugu na Gb 64 ndio...
Sie tumefurahia barabara nyeupe jana hakukuwa na gozi gozi, mchana wajeda walikuwa wanaondoa gari lao nyuma ya kichanja Visiga wanapaita check point au kwa kipofu. Hili swala hata wananchi walioshuhudia wanaogopa kulitolea maelezo.
Wajeda - wanajeshi, ila acha kuchokoza mengine yaache yaishie kwenye code tu! Gari la Jeshi limegonga lorry la kubeba kontena kwa nyuma. Ni ajari mbaya bhana na mpaka sasa hakuna taarifa yeyote ya ajali hiyo ingekuwa ni swala la kiraia hata wewe usingeuliza. Dambwe au kijiwe cha kukusanya...
Tunaogopa kutafutana baada ya mambo yao kumwagika, mtusamehe wengine ndio hatutoki kwenu ndio lugha zetu nyie wa 2000 mnataka fasihi sanifu ndio muelewe.
sio kila jambo linasemwa kiweupe hivyo wengine hatutaki taabu na walimwengu, wenyewe wanao utaratibu wao wa kutoa taarifa ndio tunasubiria watoe taarifa. Humu tunachokoza ili watu wafunguke we kuwa na kaaba tu.
Wazee wa vizuizi wameyatimba, Morogoro Road shwari Madambwe ya Rushwa na kubambikia Madereva vyeti yameondolewa.
Tumeshaandika thread nyingi humu kulalamika kuhusu Jeshi letu kuongeza barriers hatarishi humu na kukusanya 2,000 kwa madereva, jana tumeona shwari mpaka mlandizi hakuna hata kimoja...
Hizi ni propaganda za zamani, Israel bila backup ya Marekani hawezi battle na USA wanauchaguzi wao huko hapa ndio wakati sasa kumpelekea moto mjini kwake na hii ndio itafanya ajifunze dhiki, taabu na hofu anazowapa wenzie na wamezoea yeye ndio anaumia zaidi sababu anajiona mkubwa na watu...
Netanyahu ni muoga kama walivyo wazungu wanapenda wapige tu wao sasa wanyonge wamechoka na wameona hawana cha kupoteza kichafuke tu kwani nini.
Hii ndio aina ya ujasiri iliopotea hakuna kuogopa kushindwa ni kuthubutu tu. Hata CCM ndio inachosubiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.