Recent content by Songambele

  1. Songambele

    JamiiForums Tanzania Kufukuzwa kwa Nchimbi mbona Kikwete kanywea kunani?

    Hivi kweli wana JF hizi ndio akili zenu zilipofikia???!!! Kakuulia nani tena mzee wa watu??
  2. Songambele

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Temeke yaongoza kwa ushoga nchini

    Huu ni msiba miaka ya mwanzo ya tisini Dar es salaam kulikuwa na jamaa mmoja alikuwa akiitwa Faruku na alikuwa akionekana nyakati za sikukuu kidongo chekundu gerezani kwenye viwanja vya michezo watu wote walikuwa wakimshangaa kwa miondoko yake na michezo yake alikuwa akihusishwa na ushoga. Na...
  3. Songambele

    JamiiForums Tanzania Maria Surungi: Deo Ndejembi ni Mzanzibari, Muislamu, pia ana uraia wa Uingereza

    Ndugu yenu, Mkatoliki mwenzenu, mmatumbi mwenzenu kakataa kazi imemshinda sasa aliyemix atafaa zaidi.
  4. Songambele

    JamiiForums Tanzania Maria Surungi: Deo Ndejembi ni Mzanzibari, Muislamu, pia ana uraia wa Uingereza

    kuna kosa gani kuzaliwa na mama mpemba manake nyie wanaharakati mna hila, huyu aliye mix ndio anafaa zaidi manake utanzania wake ni wa damu na sio udongo.
  5. Songambele

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmannuel Nchimbi afukuzwa uanachama wa CCM

    Acha uhafidhina mambo yanabadiliaka, ule ubabe wa kizamani hauna nafasi tena. Hakuna nafasi isiyozibika na amini nakwambia na sub yake inaweza fanya maajabu. Uspecial mliompachika mzee wa watu umemghalimu haya ni mambo ya aibu diplomats, very senior officer unafukuzwa kwa utovu wa nidhamu. CCM...
  6. Songambele

    JamiiForums Tanzania Nchimbi ni zaidi ya mhaini, alaaniwe na kila mtanzania

    We utakuwa mwana simba, kwenu kule mnasema mangungu. Mwacheni mzee wa watu astaafu, mnatakiwa kukubali hata wale mnaowachukulia poa wamekuwa serious kufight back. Mlijaribu kupindua nchi Oct 29 mlipokwama mkasingizia Kikwete kaingilia kati. Hao mnaowachukulia poa wameamua kukaza kweli kweli...
  7. Songambele

    JamiiForums Tanzania Tunajua Dr. Nchimbi kalazimishwa kujiuzulu na hili linaweza kuwa ndio chanzo cha mpasuko mkubwa ndani ya CCM utakaomwondoa Samia madarakani

    Huu ni mkwara mbuzi! mbona hawakuwa watu wa Samia labda useme mwenda zake. Dunia hii ni nyingine jamani ile mikwara ya hamsini kweusi haipo tena, kama Irani kamdindia USA na shughuli kaipata amini nakwambia hakuna mnyonge tena kwa historia za zamani. Hata Samia sio mnyonge tena na anaonekana...
  8. Songambele

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mzani Vigwaza bado umetapakaa rushwa na matendo ya kizamani

    Dhamira ya Serikali JMT ya kuboresha mazingira ya kufanya Biashara Tanzania bado ni ndoto ya alinacha. Ukiwasikia viongozi wa kitaifa wanahubiri unaweza ukaona nchi ya ahadi iko karibu kuifikia lakini watendaji katika taasisi za Umma bado wamelala fofofo na wanaamini watanzania bado ni wale wa...
  9. Songambele

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Tunamtaka Mange and Etal wawe front!!!
  10. Songambele

    JamiiForums Tanzania Salim Kikeke ni Raia wa Tanzania?

    Wewe utakuwa mwanga, Acha siasa za maji taka
  11. Songambele

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHADEMA: Tumepata taarifa ya Tundu Lissu kutaka kupewa sumu

    Habari ya kustua sana hizi, wahenga walisema mpe mchawi mwana amlee. manake hata mdhulu. Sasa huyu mchawi dola hana haya wala aibu. Kama walimshusha mzee wa watu katika Bus na kwenda kumuuua hawashindwi kumuwekea sumu mwenyekiti.
  12. Songambele

    JamiiForums Tanzania Tanzania yatoa majibu na msimamo wake kwa Azimio la Bunge la Ulaya la Mei 8, 2025

    Kuna ugumu gani kumuachia TL na kumaliza kubambikia watu kesi??? kwani kila mtu akiwa huru kugombea kuna shida gani
  13. Songambele

    JamiiForums Tanzania Kumegeka kwa CHADEMA ni matokeo ya uongozi mpya kukosa maono, kukosa angenda za kuiunganisha na kukurupuka

    Hawa sio wengine, hawa ni viongozi waandamizi. Matendo yao ya nyuma yalishawishi watu kujiunga na chama, na wengine kuumia na hata kupoteza maisha. Sasa kuwa kiongozi wa umma kwa muda mrefu ni lazima wajikague athari ya matendo yao. Yaani wake zao wamebunya na wanafikia kuchukua kiinua mgongo...
  14. Songambele

    JamiiForums Tanzania Kumegeka kwa CHADEMA ni matokeo ya uongozi mpya kukosa maono, kukosa angenda za kuiunganisha na kukurupuka

    Du hili umeandika sijui ni kitu gani na unataka kumweleza nani asiyejua kinachoendelea. Hawa wazee ni walevi wa madaraka na mabadiliko yamewatoa katika comfort zone zao na mademu zao. Ugomvi wao wa kuwakumbatia mademu zao ambao ni Covid 19 umewashusha sana integrity yao kama wanamapinduzi wa...
  15. Songambele

    JamiiForums Tanzania Haya wale ambao mnamtetea Ali Kamwe na Utoto, Upuuzi na kutaka Kwake Sifa zinazoenda Kumtokea puani sasa mjibuni huyu Dada kama mna Hoja za maana

    Hizi ndio aibu za viongozi tulionao na wanapenda kudandia kila jambo. FIFA walikataza serikali kuingilia mchezo wa mpira sababu tabia za warasimu ni ubabe na kupenda kuabudiwa. Mkuu wa Mkoa mwenyewe kautaka sasa watu wakimjibu hawaangalii anacheo gani, kama anavyojibiwa kisugu na Gb 64 ndio...
Back
Top Bottom