Recent content by Songambele

  1. Songambele

    Barabara ya Morogoro Mlandizi Chalinze foleni ni kubwa Jiongezeni watumiaji

    Hii ndio ilikuwa ya Nwanzi ikafatia Kamwana pale Mkaramo, ikafatia Tipper la mchanga, na kuna mdada amedondoshwa na boda daladala ikamkanyaga on the spot kaaga dunia hii mkaramo baada ua Jam y ruvu Sauli
  2. Songambele

    Barabara ya Morogoro Mlandizi Chalinze foleni ni kubwa Jiongezeni watumiaji

    Mnaotumia barabara ya Morogoro, Kibaha Mlandizi au Chalinze Mlandizi hali bado ni tete. Wenye mko na njia mbadala jiongezeni au subirini. Kama sio lazima sana kusafiri ebu subirini, manake malory yanayozima yanaongezeka na kuleta maafa zaidi, ameaga mwingine dunia baada ya kudondoshwa na boda...
  3. Songambele

    Biashara ya Sukari imekuwa mateso kwa Wafanyabiashara

    Hatua iwachukulie mabwanyenye yenye viwanda, hizi zote ni Siasa za kiafrika na wewe ukoloni mambo Leo umekufanya ukose kujitambua. Hivi unawajua wenye viwanda vya sukari??? Au wenye wako katika out grower schemes??? Serikali inalinda mabwanyenye kwa kafara ya wachuuzi tu, we kada akili hizi huna...
  4. Songambele

    Bodi ya Sukari acheni sinema, wajibikeni sasa

    Kama ilivyo desturi hatuwezi kukaa kimya kuacha sinema za karne iliyopita ziendelee tena kila uchaguzi unapokaribia. Sukari adimu kwa maelezo Yao wenyewe uzalishaji ni mdogo kuliko mahitaji. Hili sio jipya zipo hatua hata mwenda ZAKE alichukua kupambana na uhaba wa sukari. Wafanyabiashara...
  5. Songambele

    Waziri Masauni tupunguzie Traffic Polisi barabarani

    Duh! Waongezeeni maarifa Hawa mlio nao kwanza wajitambue na waache rushwa. Wapeni technolojia makondoo ni Hao traffic wanasimamisha gari moja na wanauliza maswali hayo hayo katika vitu zaidi ya 20 ndani ya km 200. Hii nchi ni ya kwetu sote na tunajua hamtaki mawazo tofauti na yenu lakini lazima...
  6. Songambele

    Waziri Masauni tupunguzie Traffic Polisi barabarani

    Wanaondesha magari vibaya ni madereva wenu wa serikali na majeshi yenu wao hata afisa akiwa anaenda nyumba ndogo ni misafara na kutanua. Miundo mbinu yenu ni wizi mwendazake kajenga barabara njia 8 na bado Polisi wenu wanadangia humo humo
  7. Songambele

    Waziri Masauni tupunguzie Traffic Polisi barabarani

    Tunataka tufanye BIASHARA na tushindane na nchi Jirani huku tupunguze gharama za uendeshaji. Huu mradi wenu wa kukusanya fine bila kufanya kazi ni mwizi kuibia raia na makampuni na tunapinga rushwa. Hatutaki watoto wakue wakute rushwa ni halal sie tumefundishwa rushwa ni adui wa haki
  8. Songambele

    Waziri Masauni tupunguzie Traffic Polisi barabarani

    Nchi hii kila mtu ni muhalifu mpaka mahakamani iamue vinginevyo. Kwa taarifa JF ndio mawazo bora kabisa yanapotoka na toka 2007 tunatupia humu kujenga hili Taifa.
  9. Songambele

    Waziri Masauni tupunguzie Traffic Polisi barabarani

    Miaka ya 2010 World Bank walitoa ripoti ya kufanya biashara nchini Tanzania na kwa viwango vya wakati ule tulishika nafasi kama ya 121 kama sijakosea. Raisi wa wakati ule Mh. Jakaya hakuridhishwa na hiyo ranking na kuchukua hatua at least tufikie 2 digits yaani tuwe chini ya 100. Majirani zetu...
  10. Songambele

    Emmanuel Nchimbi anafaa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, anaweza kujenga chama, kudhibiti nidhamu ya chama, akiwemo yule bwana mdogo

    Da nyie watu wa propaganda mnazingua sana mkishachukua posho zenu tayari mko radhi hata kuuza utu wenu. Hii si kusema chama chenu mmekirudisha kule kule tu kwani Nchimbi ni waleo CCM na kundi lake si ndio limeshika hatamu sasa. Onyesheni records zake zilizotukuka katika kuwaondolea wanachi shida...
  11. Songambele

    Uteuzi: Kanali Simbakalia ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ranchi za Taifa (NARCO)

    Kwa teuzi za namna hii Mama hatomaliza kupanga serikali, manake kama vile lipo kundi ambalo lazima wawe katika uongozi ije jua au mvua. Kama kuna vitu CCM wana feli ni hili kundi waliloliandaa ambalo lazima liwemo katika kuongoza hata kama mtaa. NARCO ilitaka mtu kama ASAS ambaye anazo records...
  12. Songambele

    Tetesi: Kama hili ni kweli, basi nakubaliana na Lissu kuhusu Dkt. Slaa

    Tunaijua hiyo Slaa CCM wanataka kumtumia tena kuua upinzani, huko anatakiwa kustaafu tu
  13. Songambele

    Naibu Waziri Mkuu Dkt. Biteko: Nimeambiwa majukumu yangu ni Kufanya Coordination nami naahidi nitamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa!

    Dr. Biteko wasichokuambia wewe ndio unatakiwa kuwa PM ajaye na hiyo ndio pasi ya mwisho, wewe tu ndio unatakiwa kupasia nyavu. Manake ingekuwa sie tungenyoosha Majaliwa kachoka na mawazo mapya na ubunifu zaidi ndio Mama anataka. Weka weledi na toka nje ya box kupata watendaji wazuri achana na...
  14. Songambele

    Rais ajaye Tanzania atokane na mmojawapo wa viongozi wafuatao

    Huyu mjinga propaganda zimemwingia mpaka hajitambui na hatumii tena akili zake, Tanzania inataka viongozi wapya kabisa na sio hawa uliotaja wengine umri umeshawatupa mkono, tunataka raisi aliyezaliwa miaka ya 90 yaani kwa muda huo anagombea awe hajazidi 35. Hao wazee wameshaumizwa na ukoloni na...
  15. Songambele

    Hongera na pole Balozi Siwa. Je, utaiweza TISS au TISS itakuweza?

    Mikwara hii na ndio kichaka cha kujifichia hawa watu, kiukweli katika idara zilizotufelisha katika nchi hii hawa jamaa wamo mbele na wanatumika sana na wanasiasa kutimiza matakwa ya kisiasa zaidi kuliko maendeleo. Hizi ndio taasisi mkoloni aliziunda kujihalalishia ufedhuli wao, na CCM wanapita...
Back
Top Bottom