Hii ndio ilikuwa ya Nwanzi ikafatia Kamwana pale Mkaramo, ikafatia Tipper la mchanga, na kuna mdada amedondoshwa na boda daladala ikamkanyaga on the spot kaaga dunia hii mkaramo baada ua Jam y ruvu Sauli
Mnaotumia barabara ya Morogoro, Kibaha Mlandizi au Chalinze Mlandizi hali bado ni tete. Wenye mko na njia mbadala jiongezeni au subirini.
Kama sio lazima sana kusafiri ebu subirini, manake malory yanayozima yanaongezeka na kuleta maafa zaidi, ameaga mwingine dunia baada ya kudondoshwa na boda...
Hatua iwachukulie mabwanyenye yenye viwanda, hizi zote ni Siasa za kiafrika na wewe ukoloni mambo Leo umekufanya ukose kujitambua. Hivi unawajua wenye viwanda vya sukari??? Au wenye wako katika out grower schemes??? Serikali inalinda mabwanyenye kwa kafara ya wachuuzi tu, we kada akili hizi huna...
Kama ilivyo desturi hatuwezi kukaa kimya kuacha sinema za karne iliyopita ziendelee tena kila uchaguzi unapokaribia.
Sukari adimu kwa maelezo Yao wenyewe uzalishaji ni mdogo kuliko mahitaji.
Hili sio jipya zipo hatua hata mwenda ZAKE alichukua kupambana na uhaba wa sukari.
Wafanyabiashara...
Duh! Waongezeeni maarifa Hawa mlio nao kwanza wajitambue na waache rushwa. Wapeni technolojia makondoo ni Hao traffic wanasimamisha gari moja na wanauliza maswali hayo hayo katika vitu zaidi ya 20 ndani ya km 200. Hii nchi ni ya kwetu sote na tunajua hamtaki mawazo tofauti na yenu lakini lazima...
Wanaondesha magari vibaya ni madereva wenu wa serikali na majeshi yenu wao hata afisa akiwa anaenda nyumba ndogo ni misafara na kutanua. Miundo mbinu yenu ni wizi mwendazake kajenga barabara njia 8 na bado Polisi wenu wanadangia humo humo
Tunataka tufanye BIASHARA na tushindane na nchi Jirani huku tupunguze gharama za uendeshaji. Huu mradi wenu wa kukusanya fine bila kufanya kazi ni mwizi kuibia raia na makampuni na tunapinga rushwa. Hatutaki watoto wakue wakute rushwa ni halal sie tumefundishwa rushwa ni adui wa haki
Nchi hii kila mtu ni muhalifu mpaka mahakamani iamue vinginevyo. Kwa taarifa JF ndio mawazo bora kabisa yanapotoka na toka 2007 tunatupia humu kujenga hili Taifa.
Miaka ya 2010 World Bank walitoa ripoti ya kufanya biashara nchini Tanzania na kwa viwango vya wakati ule tulishika nafasi kama ya 121 kama sijakosea. Raisi wa wakati ule Mh. Jakaya hakuridhishwa na hiyo ranking na kuchukua hatua at least tufikie 2 digits yaani tuwe chini ya 100. Majirani zetu...
Da nyie watu wa propaganda mnazingua sana mkishachukua posho zenu tayari mko radhi hata kuuza utu wenu. Hii si kusema chama chenu mmekirudisha kule kule tu kwani Nchimbi ni waleo CCM na kundi lake si ndio limeshika hatamu sasa. Onyesheni records zake zilizotukuka katika kuwaondolea wanachi shida...
Kwa teuzi za namna hii Mama hatomaliza kupanga serikali, manake kama vile lipo kundi ambalo lazima wawe katika uongozi ije jua au mvua. Kama kuna vitu CCM wana feli ni hili kundi waliloliandaa ambalo lazima liwemo katika kuongoza hata kama mtaa. NARCO ilitaka mtu kama ASAS ambaye anazo records...
Dr. Biteko wasichokuambia wewe ndio unatakiwa kuwa PM ajaye na hiyo ndio pasi ya mwisho, wewe tu ndio unatakiwa kupasia nyavu. Manake ingekuwa sie tungenyoosha Majaliwa kachoka na mawazo mapya na ubunifu zaidi ndio Mama anataka.
Weka weledi na toka nje ya box kupata watendaji wazuri achana na...
Huyu mjinga propaganda zimemwingia mpaka hajitambui na hatumii tena akili zake, Tanzania inataka viongozi wapya kabisa na sio hawa uliotaja wengine umri umeshawatupa mkono, tunataka raisi aliyezaliwa miaka ya 90 yaani kwa muda huo anagombea awe hajazidi 35. Hao wazee wameshaumizwa na ukoloni na...
Mikwara hii na ndio kichaka cha kujifichia hawa watu, kiukweli katika idara zilizotufelisha katika nchi hii hawa jamaa wamo mbele na wanatumika sana na wanasiasa kutimiza matakwa ya kisiasa zaidi kuliko maendeleo. Hizi ndio taasisi mkoloni aliziunda kujihalalishia ufedhuli wao, na CCM wanapita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.