Recent content by Songambele

  1. Songambele

    PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Tunamtaka Mange and Etal wawe front!!!
  2. Songambele

    Salim Kikeke ni Raia wa Tanzania?

    Wewe utakuwa mwanga, Acha siasa za maji taka
  3. Songambele

    GE2025 CHADEMA: Tumepata taarifa ya Tundu Lissu kutaka kupewa sumu

    Habari ya kustua sana hizi, wahenga walisema mpe mchawi mwana amlee. manake hata mdhulu. Sasa huyu mchawi dola hana haya wala aibu. Kama walimshusha mzee wa watu katika Bus na kwenda kumuuua hawashindwi kumuwekea sumu mwenyekiti.
  4. Songambele

    Tanzania yatoa majibu na msimamo wake kwa Azimio la Bunge la Ulaya la Mei 8, 2025

    Kuna ugumu gani kumuachia TL na kumaliza kubambikia watu kesi??? kwani kila mtu akiwa huru kugombea kuna shida gani
  5. Songambele

    Kumegeka kwa CHADEMA ni matokeo ya uongozi mpya kukosa maono, kukosa angenda za kuiunganisha na kukurupuka

    Hawa sio wengine, hawa ni viongozi waandamizi. Matendo yao ya nyuma yalishawishi watu kujiunga na chama, na wengine kuumia na hata kupoteza maisha. Sasa kuwa kiongozi wa umma kwa muda mrefu ni lazima wajikague athari ya matendo yao. Yaani wake zao wamebunya na wanafikia kuchukua kiinua mgongo...
  6. Songambele

    Kumegeka kwa CHADEMA ni matokeo ya uongozi mpya kukosa maono, kukosa angenda za kuiunganisha na kukurupuka

    Du hili umeandika sijui ni kitu gani na unataka kumweleza nani asiyejua kinachoendelea. Hawa wazee ni walevi wa madaraka na mabadiliko yamewatoa katika comfort zone zao na mademu zao. Ugomvi wao wa kuwakumbatia mademu zao ambao ni Covid 19 umewashusha sana integrity yao kama wanamapinduzi wa...
  7. Songambele

    Haya wale ambao mnamtetea Ali Kamwe na Utoto, Upuuzi na kutaka Kwake Sifa zinazoenda Kumtokea puani sasa mjibuni huyu Dada kama mna Hoja za maana

    Hizi ndio aibu za viongozi tulionao na wanapenda kudandia kila jambo. FIFA walikataza serikali kuingilia mchezo wa mpira sababu tabia za warasimu ni ubabe na kupenda kuabudiwa. Mkuu wa Mkoa mwenyewe kautaka sasa watu wakimjibu hawaangalii anacheo gani, kama anavyojibiwa kisugu na Gb 64 ndio...
  8. Songambele

    Wazee wa Vizuizi wameyatimba Madambwe yameondolewa Kibaha - Mlandizi.

    Sie tumefurahia barabara nyeupe jana hakukuwa na gozi gozi, mchana wajeda walikuwa wanaondoa gari lao nyuma ya kichanja Visiga wanapaita check point au kwa kipofu. Hili swala hata wananchi walioshuhudia wanaogopa kulitolea maelezo.
  9. Songambele

    Wazee wa Vizuizi wameyatimba Madambwe yameondolewa Kibaha - Mlandizi.

    Du! Msela anayezeeka kaka, tupo masela wengi tunazeeka humu JF ndio kwetu bado siku chache tusheherekee miaka 20 ya kupost JF
  10. Songambele

    Wazee wa Vizuizi wameyatimba Madambwe yameondolewa Kibaha - Mlandizi.

    Wajeda - wanajeshi, ila acha kuchokoza mengine yaache yaishie kwenye code tu! Gari la Jeshi limegonga lorry la kubeba kontena kwa nyuma. Ni ajari mbaya bhana na mpaka sasa hakuna taarifa yeyote ya ajali hiyo ingekuwa ni swala la kiraia hata wewe usingeuliza. Dambwe au kijiwe cha kukusanya...
  11. Songambele

    Wazee wa Vizuizi wameyatimba Madambwe yameondolewa Kibaha - Mlandizi.

    Tunaogopa kutafutana baada ya mambo yao kumwagika, mtusamehe wengine ndio hatutoki kwenu ndio lugha zetu nyie wa 2000 mnataka fasihi sanifu ndio muelewe.
  12. Songambele

    Wazee wa Vizuizi wameyatimba Madambwe yameondolewa Kibaha - Mlandizi.

    sio kila jambo linasemwa kiweupe hivyo wengine hatutaki taabu na walimwengu, wenyewe wanao utaratibu wao wa kutoa taarifa ndio tunasubiria watoe taarifa. Humu tunachokoza ili watu wafunguke we kuwa na kaaba tu.
  13. Songambele

    Wazee wa Vizuizi wameyatimba Madambwe yameondolewa Kibaha - Mlandizi.

    Wazee wa vizuizi wameyatimba, Morogoro Road shwari Madambwe ya Rushwa na kubambikia Madereva vyeti yameondolewa. Tumeshaandika thread nyingi humu kulalamika kuhusu Jeshi letu kuongeza barriers hatarishi humu na kukusanya 2,000 kwa madereva, jana tumeona shwari mpaka mlandizi hakuna hata kimoja...
  14. Songambele

    Nafikiri Israel Itapotezea kulipa Kisasi kwa Iran mpaka imalizane na Hizbola kwanza. Iran itawekwa kiporo kama Hizbola wakati wanashambulia Hamas

    Hizi ni propaganda za zamani, Israel bila backup ya Marekani hawezi battle na USA wanauchaguzi wao huko hapa ndio wakati sasa kumpelekea moto mjini kwake na hii ndio itafanya ajifunze dhiki, taabu na hofu anazowapa wenzie na wamezoea yeye ndio anaumia zaidi sababu anajiona mkubwa na watu...
  15. Songambele

    Kama Iran hawakumuelewa Netanyahu, Walitakiwa kumuelewa rais wao mstaafu Mahmoud Ahmadinejad. Israel iko kila kona Iran

    Netanyahu ni muoga kama walivyo wazungu wanapenda wapige tu wao sasa wanyonge wamechoka na wameona hawana cha kupoteza kichafuke tu kwani nini. Hii ndio aina ya ujasiri iliopotea hakuna kuogopa kushindwa ni kuthubutu tu. Hata CCM ndio inachosubiri
Back
Top Bottom