Wewe jamaa uko sawa kichwani kweli? Yaani pamoja na vitimbi vyote hivyo bado unamuita ni mke wako? Wake up brother acha ujinga huyo sio ridhiki yako usijipe stress za kijinga
Nikiwa sina hili wala lile mtoto wa Mjasiriamali napita vitongoji kadhaa ndani ya Wilaya ya Njombe Kata ya Yakobi. Nakutana na mzee mmoja akiwa amejichokea taabani kweli kweli. Mzee ameshikilia mkwaju wake! Bila ajizi nampatia mzee heshma yake! Mzee anaipokea heshma yake na ninamwambia...
Hii story ni ya kweli au ni man made Story??. Kama ni ya Kweli tunaomba Jina la Huyo Mwalimu na Namba yake ya Simu ili apatiwe Ajira Mpya sasaivi popote nchini.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
pamoja na vifo vinavyochangiwa na stress na mazingira magumu tunayoishi vimezidi kuongezeka.
Tafadhali epuka;
i. Kukasirishwa kirahisi na mwenzi, watoto, marafiki, wafanyakazi wenzako, majirani, wasaidizi wa majumbani n.k.
ii. Epuka kujibu kwa ukali au kufoka mara kwa mara, jaribu kupunguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.