Sijui nifanyaje hapa, ni miaka kumi na sita sasa tangu baba yangu afariki.
Baba kuna kosa alifanya enzi za uhai wake. Kosa hilo limesababisha mateso na dhiki kuu hii leo kwa familia nzima. We are paying heavy price.
Nimefikiria nimtafute aliyekosewa nijaribu kumuomba msamaha, naona hii ndio...
Kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu nilichelewa kufanya tohara.
Ni wiki tatu sasa tangu nifanye tohara.
Siku zilipita nilishiriki tendo,lakini sikufanikiwa kumaliza kwa siku zote mbili mfululizo.
Yaani siku ya kwanza,nafanya hadi nachoka bila kufika mwisho.
Siku ya pili tena,nafanya...
Kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu, nilichelewa kufanya tohara,
Ni wiki tatu sasa tangu nifanye tohara, na kwa mara ya kwanza nimeshiriki tendo kwa siku mbili bila kumaliza.
Yaani siku ya kwanza, nafanya hadi nachoka,simalizi
Siku ya pili pia nafanya hadi nachoka, simalizi.
Je nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.