Recent content by Somoe

  1. Somoe

    Thread review: Timing ya wanandoa kukutana mkiwa na watoto wadogo

    Kama mnalala kitanda kimoja na watoto, ngumu sana kukutana kimwili. Kitanda kikitikisika tu, wanamka au wataanza kulia. mutawasumbua sana hao watoto. Vizuri mkiwa na vitanda viwili chumbani. Kimoja mnalala nyinyi, na kingine wanalala watoto. Kama mtoto anamiezi tu, (mchanga) au wachanga...
  2. Somoe

    Hivi kwa nin wanaume wengi wa kiafrica huwa tuna haka katabia?

    Na alie kupenda na hukumpenda, atafurahi siku ukiangamia, pole. Wivu mbaya, inaume
  3. Somoe

    Watanzania muache huu ushamba mnapofika majuu

    Huyo ataitwa HB-management
  4. Somoe

    Kwanini wanawake wengi wana mtazamo hasi kuhusu wanaume wa Mara?

    Munatembea na vitu vyenye ncha kali, mapenzi yengu kama kuku, unakamata na kutia
  5. Somoe

    Wanaume wanao baka wake zao/wapenzi wao

    We mi makavu live, nibake tu uone
  6. Somoe

    Wanaume wanao baka wake zao/wapenzi wao

    Kwanza) kuliko yote nawapa pole wanawake wanaofanywa mapenzi kwa nguvu, ama kavu kavu, hadi anaumia, pole. Wanawake wengi wanakimbia waume zao, sababu mume anamuingilia mke kama kuku. Wanaume mnao subiri mke alale au alewe pombe ndio amuingilie, muna ugonjwa kichwani. Hii tabia inaweza kuvuma...
  7. Somoe

    Mwanawake ukikataliwa ndio uweke uadui jamani?

    Labda wewe mwenyewe umekataliwa na unaleta uadui. Wanaume kama nyie Mukikataliwa tu, basi unatangaza ya ujinga na uongo dunia mzima.
  8. Somoe

    Kina dada acheni unafiki

    Basi kuku jike/ tetea upandwa na dume lolote lile, na hata na mtoto wake, mjukuu wake. Kama unataka kulinganisha wanyama na binadam.
  9. Somoe

    Kina dada acheni unafiki

    Hayo ni matakwa ya mtu binafsi, haya husiani na mungu wala nini.
  10. Somoe

    Ukimwonyesha unampenda sana lazima atakutenda

    Raha ya mapenzi ni kupendana. atakae kupenda kweli na utakae mpenda kweli. Wengine wanajua kuharibu tu basi
  11. Somoe

    Wanaume wa Dar mnatia hasira

    DAR HAKUNA MWANAUME, WOTE NI WANAWAKE. Wamezaliwa wanaume lakini kichwani wanawake,
  12. Somoe

    Mke wangu nimemtimua leo

    Huyo ni Kademu ka mama. Mwanaume gani anaetaka afarijiwe na mama yake? Mwili mwanaume lakini kichwani mwanamke. Hata muandiko wako inaonesha kama mwanamke hivi, ndio maana kasalitiwa. Dume la mbegu ndio anakula,
  13. Somoe

    Mke wangu nimemtimua leo

    Kweli kabisa umenena ya maana. Mume mwenye kadosari, kama kupanda ndege ndio cha maana sana vile!!!! au kumfundisha jinsi ya kutumia vitu vyake ni cha maana vile? Anaonesha anapenda ukubwa ukubwa na sifa sifa
Back
Top Bottom