Kama mnalala kitanda kimoja na watoto, ngumu sana kukutana kimwili. Kitanda kikitikisika tu, wanamka au wataanza kulia. mutawasumbua sana hao watoto.
Vizuri mkiwa na vitanda viwili chumbani. Kimoja mnalala nyinyi, na kingine wanalala watoto. Kama mtoto anamiezi tu, (mchanga) au wachanga...
Kwanza) kuliko yote nawapa pole wanawake wanaofanywa mapenzi kwa nguvu, ama kavu kavu, hadi anaumia, pole. Wanawake wengi wanakimbia waume zao, sababu mume anamuingilia mke kama kuku. Wanaume mnao subiri mke alale au alewe pombe ndio amuingilie, muna ugonjwa kichwani. Hii tabia inaweza kuvuma...
Huyo ni Kademu ka mama. Mwanaume gani anaetaka afarijiwe na mama yake? Mwili mwanaume lakini kichwani mwanamke. Hata muandiko wako inaonesha kama mwanamke hivi, ndio maana kasalitiwa. Dume la mbegu ndio anakula,
Kweli kabisa umenena ya maana. Mume mwenye kadosari, kama kupanda ndege ndio cha maana sana vile!!!! au kumfundisha jinsi ya kutumia vitu vyake ni cha maana vile? Anaonesha anapenda ukubwa ukubwa na sifa sifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.