Wakati mabilioni yakiporwa kwa kisingizio cha umeme, Vasco Da Gama ameanza safari za kutembelea makaburi ..... baada ya miaka mitano, Tanzania itakuwa kama Zimbabwe - noti za milioni 10.
Kwi kwi kwi BL umenivunja mbavu kabisa.... nikipigwa ban, haitakuwa mara ya kwanza. Mimi ni mmoja kati ya wachache hapa JF tunaongelea ufisadi wa Kikwete kwa wazi (talk openly).
Kwa wengine hapo juu mnaotaka kutafuniwa, hebu fuatilieni mjue ni nani alisaini mkataba wa kifisadi wa kampuni ya...
Ya nini kupiga mzunguko wa kichaka (hit around the bush)?
Waliyofanya ccm kwenye chaguzi za meya Arusha na kwingineko, ni kivuli tu cha yale waliyofanya mwezi november mwaka jana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.