Itoshe kusema kuwa, Mhe. SSH Rais wa JMT anayo dhamira njema ya kuondoa kero ya muda mrefu ya kutoongezwa mshahara Watumishi wa Umma lakini kwa ongezeko hili, dhamira yake hii inedhulumiwa! Haiwezekani Mtumishi hajapandishwa mshahara wa kisheria (Annual Increment) wala ongezeko la mshahara kwa...
1. Malipo ya Mkupuo yatakuwa {(1,500,000.00x12x(2022-1986)x12)/580}x12.2x0.33 = 55,303,448.28
2. MAlipo ya Kila mwezi yatakuwa {(1,500,000.00x12x(2022-1986)x12)/580}x0.67/12 = 748,551.72
1. Malipo ya Mkupuo yatakuwa {(1,500,000.00x12x(2022-1986)x12)/580}x12.2x0.33 = 55,303,448.28
2. MAlipo ya Kila mwezi yatakuwa {(1,500,000.00x12x(2022-1986)x12)/580}x0.67/12 = 748,551.72
Tusisahau kuwa, vita dhidi ya Ugaidi imepewa kipaumbele cha kwanza na Mataifa ya Magharibi na ndiyo maana Mabalozi waliposikia kesi inayogusa ugaidi, wakaelekezwa kuifuatilia vyema na kwa taarifa tu ni kwamba, wanatoa mrejesho kwao kila wanapotoka Mahakamani na humu Tanzania hamtawasikia...
Unadhani approach anayotumia ya "Royal tour" itatoa majibu ya mkwamo katika utalii! Mimi nadhani Watalii hawatavutiwa na hili bali hali ya Kisiasa ikikaa vyema kukawa na utengamano wa jamii nzima ya Watanzania na kila mmoja akaisema vyema nchi yetu, watalii watasikia na kurejea tena kama enzi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.