Recent content by SOKU IGEMIIWE

  1. S

    Wabunge watatu wa CCM wauza unga wajisalimisha

    Hakuna lolote hapa: (i) ICC the Hague hawahusiki na wauza madawa ya kulevya. (ii) Tume ya kidini, haina Legal Mandate ya kuwawezesha kushughulika na suala lolote effectively. Kwahiyo kuwaambia wa-Tz kwamba wapo watu wamejisalimisha kwenye Tume ya kidini, kutubu makosa yao ili wasamehe ni uongo...
  2. S

    Mtu asiyejulikana agawa fedha jijini Dar

    Angetumia M-pesa, Tigo-pesa, na Airtel-money, ingekuwa bora zaidi maana tungepata wote TZ nzima.Alie karibu nae ampashe hii.
  3. S

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Aibu aipatayo mlevi ni kujitapikia
Back
Top Bottom